ndiyomkuusana
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 666
- 421
Wadau ni mwezi wa tatu huu hatujapokea mshahara sisi wafanyakazi wa UDSM na DUCE, tunaongea na uongozi wa Chuo wanashindwa kutupa jibu Sahihi. Mishahara yetu imeenda wapi? Mtu yeyote anayejua ukweli atujuze? familia zetu zinakufa njaaa,tumekopa vya kutosha!