Kipilipili
JF-Expert Member
- May 25, 2010
- 2,272
- 1,876
" Wadanganyika" wenzangu,hv hakuna watu walioitendea wema nchi hii zaid ya nyerere?hv nyerere alpigania uhuru peke yake?nyerere na TAA nani alianza kuzaliwa?hv kwa nn 2sikumbuka wengne km Tewa said Tewa,hamza mwapachu,bibi titi mohamed,abdulwaheed sykes n.k.
Hv kwan wanasiasa ndio wema zaid kwa nch hii?hakuna watu wa kada nyingine ambao ni muhmu kwa nchi hii.hebu angalia mchango wa "shakespear" wa kisw ndg shaaban robert,angalia watu waliopigana ktk nch hii km majeneral waliopgana vita vya uganda.sisi ni siasa,siasa,siasa 2.
Hv kwan wanasiasa ndio wema zaid kwa nch hii?hakuna watu wa kada nyingine ambao ni muhmu kwa nchi hii.hebu angalia mchango wa "shakespear" wa kisw ndg shaaban robert,angalia watu waliopigana ktk nch hii km majeneral waliopgana vita vya uganda.sisi ni siasa,siasa,siasa 2.