UDOM wajisafisha rasmi

Mar 18, 2011
63
12
Miaka michache iliyopita tangu kuanzishwa kwa chuo kikuu cha dodoma, wanafunzi wengi wa chuo hicho walihusishwa na chama tawala yaani ccm. Lakini siku za hivi karibuni idadi kubwa ya wanafunzi wa chuo hicho wameudhihirishia uma wa watanzania kuwa ni wana mapinduzi wa kweli. Mfano siku moja kabla ya uzinduzi wa sherehe za kuzaliwa kwa ccm mjini dodoma gari lililofika kutangaza chuoni hapo lilizuiliwa kwa ghadhabu na baadhi ya wanafunzi. Hata hivyo siku ya sherehe walijitokeza wanafunzi wachache sana na kuzomewa na idadi kubwa ya wanafunzi hapo chuoni. Simaanishi kuwa kuisaliti ccm ndio kuwa mwanamapinduzi... La hasha, kimsingi wanafunzi wa vyuo vikuu wanatakiwa kuwa wachambuzi wa mambo zaidi ya vyama vya siasa kwa manufaa ya taifa. Hata hivyo kwa msomi wa chuo kikuu kuhusishwa na ccm ya leo ni aibu kubwa kutokana na chama hicho kuwa chanzo cha umasikini mkubwa ndani ya tanzania.
 
Miaka michache iliyopita tangu kuanzishwa kwa chuo kikuu cha dodoma, wanafunzi wengi wa chuo hicho walihusishwa na chama tawala yaani ccm. Lakini siku za hivi karibuni idadi kubwa ya wanafunzi wa chuo hicho wameudhihirishia uma wa watanzania kuwa ni wana mapinduzi wa kweli. Mfano siku moja kabla ya uzinduzi wa sherehe za kuzaliwa kwa ccm mjini dodoma gari lililofika kutangaza chuoni hapo lilizuiliwa kwa ghadhabu na baadhi ya wanafunzi. Hata hivyo siku ya sherehe walijitokeza wanafunzi wachache sana na kuzomewa na idadi kubwa ya wanafunzi hapo chuoni. Simaanishi kuwa kuisaliti ccm ndio kuwa mwanamapinduzi... La hasha, kimsingi wanafunzi wa vyuo vikuu wanatakiwa kuwa wachambuzi wa mambo zaidi ya vyama vya siasa kwa manufaa ya taifa. Hata hivyo kwa msomi wa chuo kikuu kuhusishwa na ccm ya leo ni aibu kubwa kutokana na chama hicho kuwa chanzo cha umasikini mkubwa ndani ya tanzania.

nasikia hata kata kilipo udom diwani wake siyo wa ccm

i need more from you guys
 
they have to prove more. we still believe they are still liberation traitors
 
Aisee,ni aibu kushabikia ccm saivi labda kimya kimya chumbani au nyumbani kwako,...
 
Lakini siku za hivi karibuni idadi kubwa ya wanafunzi wa chuo hicho wameudhihirishia uma wa watanzania kuwa ni wana mapinduzi wa kweli. Mfano siku moja kabla ya uzinduzi wa sherehe za kuzaliwa kwa ccm mjini dodoma gari lililofika kutangaza chuoni hapo lilizuiliwa kwa ghadhabu na baadhi ya wanafunzi. Hata hivyo siku ya sherehe walijitokeza wanafunzi wachache sana na kuzomewa na idadi kubwa ya wanafunzi hapo chuoni.
...Kwa mfano huo uliotoa Sidhani kama ni uanamapinduzi wa kweli!
 
Miaka michache iliyopita tangu kuanzishwa kwa chuo kikuu cha dodoma, wanafunzi wengi wa chuo hicho walihusishwa na chama tawala yaani ccm. Lakini siku za hivi karibuni idadi kubwa ya wanafunzi wa chuo hicho wameudhihirishia uma wa watanzania kuwa ni wana mapinduzi wa kweli. Mfano siku moja kabla ya uzinduzi wa sherehe za kuzaliwa kwa ccm mjini dodoma gari lililofika kutangaza chuoni hapo lilizuiliwa kwa ghadhabu na baadhi ya wanafunzi. Hata hivyo siku ya sherehe walijitokeza wanafunzi wachache sana na kuzomewa na idadi kubwa ya wanafunzi hapo chuoni. Simaanishi kuwa kuisaliti ccm ndio kuwa mwanamapinduzi... La hasha, kimsingi wanafunzi wa vyuo vikuu wanatakiwa kuwa wachambuzi wa mambo zaidi ya vyama vya siasa kwa manufaa ya taifa. Hata hivyo kwa msomi wa chuo kikuu kuhusishwa na ccm ya leo ni aibu kubwa kutokana na chama hicho kuwa chanzo cha umasikini mkubwa ndani ya tanzania.

Kweli tupu Masingo chuoni inabidin wabaki ma- purpet wachache sana wa kuitangaza ccm waliobaki wana kazi ya kuishikisha adabu ccm
 
Hawa ni ndugu zetu lakni wanatakiwa kufanya utafiti juu ya uhusiano uliopo kati ya uongozi Vs maendeleo ama uongozi Vs umasikin ..warejee na mambo manne aliyoyasema Mwl.Nyerere juu ya maendeleo (1) Watu (2)Ardhi....make wao ndo wanasoma na ndo wahanga wa uongozi mbovu pale watakapokuwa wanatembea na mabahasha kusaka ajira zisizokuwepo
 
Hawa ni ndugu zetu lakni wanatakiwa kufanya utafiti juu ya uhusiano uliopo kati ya uongozi Vs maendeleo ama uongozi Vs umasikin ..warejee na mambo manne aliyoyasema Mwl.Nyerere juu ya maendeleo (1) Watu (2)Ardhi....make wao ndo wanasoma na ndo wahanga wa uongozi mbovu pale watakapokuwa wanatembea na mabahasha kusaka ajira zisizokuwepo[/Q


sawa................Rweye
 
ndio maana kimaro wa vunjo aliwaambia uvccm waache longolongo wakitaka waende pale udsm waone kama kuna mtu atawasikiliza. sio udsm tu uvccm hawana influence kwenye chuo kikuu chochote tz kwa sasa
 
hapo umeudanganya uma mkuu.UDOM haipo kata ya makole ila ipo kata ya makulu.
CBE ndio ipo makole.
Hapa na we umedanganya ndugu. CBE ipo kata ya tambukaleli' na diwani ni bwana mmoja anaitwa Adamu - CCM.
 
nikikumbuka jinsi walivyovurumishwa kwa mabomu naona sababu kabisa ya kuikataa serikali ya ccm.
I always wish 2015 iwe mwisho wa CCM lakini kuongozwa chama cha wafanyabiashara ni bora ccm watawale hata maisha kwani itakuwa even more than worse.
 
Miaka michache iliyopita tangu kuanzishwa kwa chuo kikuu cha dodoma, wanafunzi wengi wa chuo hicho walihusishwa na chama tawala yaani ccm. Lakini siku za hivi karibuni idadi kubwa ya wanafunzi wa chuo hicho wameudhihirishia uma wa watanzania kuwa ni wana mapinduzi wa kweli. Mfano siku moja kabla ya uzinduzi wa sherehe za kuzaliwa kwa ccm mjini dodoma gari lililofika kutangaza chuoni hapo lilizuiliwa kwa ghadhabu na baadhi ya wanafunzi. Hata hivyo siku ya sherehe walijitokeza wanafunzi wachache sana na kuzomewa na idadi kubwa ya wanafunzi hapo chuoni. Simaanishi kuwa kuisaliti ccm ndio kuwa mwanamapinduzi... La hasha, kimsingi wanafunzi wa vyuo vikuu wanatakiwa kuwa wachambuzi wa mambo zaidi ya vyama vya siasa kwa manufaa ya taifa. Hata hivyo kwa msomi wa chuo kikuu kuhusishwa na ccm ya leo ni aibu kubwa kutokana na chama hicho kuwa chanzo cha umasikini mkubwa ndani ya tanzania.

ccm ina propaganda tu,hakuna chuo kikuu ambacho ccm inaweza kusema kuwa ina kambi ila uwa inapata watu wachache ambao kutokana na kutojua kwao au kwa makusudi uwa na vihelehele sana chuoni na vitisho kuwa bila ccm wanafunzi wanaoipinga ccm hawawezi kupata kazi!!,hayo nimeyashuhudia mwenyewe kwani mimi nimemaliza chuo mwaka jana tu,ni upunguani tu walionao na kwa vile uwa hawazuiliwi kujitangaza basi unaweza kusema kuwa ni kambi ya ccm lakini ukitaka kujua weka sanduku la kura hata 25% uwa hawapati,mbali na mashuleni hata maofisi ya serikali ni wapinzani watupu,huo ndiyo ukweli anayetaka kuukubali sawa na asiyetaka anaweza kuacha.
 
Back
Top Bottom