Mwali
JF-Expert Member
- Nov 9, 2011
- 7,014
- 5,610
Vipi Husninyo, mbona wanasheherekea kama most students do?Tobaaa!
Vipi Husninyo, mbona wanasheherekea kama most students do?Tobaaa!
hiyo ndo udom sio...!?
basi kama ndo hivo fedha zetu za michango ya mifuko ya hifadhi za jamii ni kama tumezipiga kiberiti
alizimishwa na kilajisasa huyu alizimia ama alikufa
Vipi Husninyo, mbona wanasheherekea kama most students do?
Yan hata mimi nimelipenda PULIZO aisee dah kweli mlikula Happyumelipenda hilo puto hapo?
nimependa puto. Nitalipataje puto?
Yaani we umeona puto tu?! Yaani hujaona huyo jamaa anayetaka kuzuia gari kwa kichwa ukaona puto tu?nimependa puto. Nitalipataje puto?
Mkuu mpaka kufanya hivi kuna sababu kibao zinachanagia, mfumo hauandai na hautoi nafasi ya kuandaa viongozi unaotarajia, kuamua kufanya hivi kunasukumwa na mengi, vinginevyo wasingefikia hapo. Mjenga nchi ni mwananchi, ila sijui mla nchi ni nani.Hawa jamaa wanatarajiwa kuja kuwa na nafasi nyeti sana katika Jamii muda si mrefu..ndio mana hii nchi imechizika na inakwenda mlama chanzo sasa ndio tunajionea wenyewe.. ...utoto mwiiiingi kila mahali!!
Mwaka mpya namshukuru aliyeniumba Mwenyeezi Mungu kwa kunipa afya njema. vipi na wewe Mwaka mpya ulikuwa wapi?Mimi mzima ndugu. Habari ya mwaka mpya?
kwa nini unauliza? kama vile hawapewi bumu eeleo ndo nathibitisha kuwa ni chuo cha kata!! hivi bumu wanapata sh ngapi vile:lol: