Leonard Robert
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 11,064
- 7,196
chuo umeenda kukua wewe
upo
college ya education ndio
maana mawazo yako yamekaa
ki ualim ualimu 2 Na kama
ungekua social science na juzi
kama
ungehudhuria public lecture ya
prof issa shivji chimwaga hall
usingepost hii status
kabisaa
na mambo kama haya
kuyapost humu ni kukishushia
hadhi chuo watu wanatuchora
wanatuona wajinga kumbe
wajinga mpo wachache
mnaotafuta sifa za
kizamani.ushaona vyuo vingine
wana viherehere vya kupost
humu kwani wenyewe hawana
matukio? Mambo kama haya
yaleteni udom chamber
tuyajadili wanafunzi 2
nimesoma post za wadau wote nikagundua wewe ni boya,zuzu na kilaza namba one hapo UDOM,unaficha maladhi kilio kitakuumbua chizi wewe.