RubenM
Senior Member
- Apr 15, 2009
- 131
- 10
Malalamiko na Wasiwasi sasa vimepungua baada ya ukimya wa kufunga chuo TUMEAAHAU... Tumepata utatuzi wa Kweli kwa matatizo ya UDOM, kuna umuhimu ingawa inaonekana KISIASA Ila linaigusa jamii na jamii inapaswa kujua na wabunge ni jamii....KUNA AJUAYE KIINI CHA MIGOMO UDOM & KWINGINEKO ?