Ee Mungu kilinde kizazi hiki dhidi ya mbegu mbaya inayopandwa na CCM, akili za watanzania hasa vijana zikombolewe kutoka katika utumwa wa fikra za ccm.
Ee Mungu msaidie kila kijana na mwananchi yeyote wa tanzania aliye kijijini au mjini aweze kuelewa kuwa nchi yetu itadumu kuwa na amani hata pasipo uongozi wa ccm.
Amen.
Ee Mungu msaidie kila kijana na mwananchi yeyote wa tanzania aliye kijijini au mjini aweze kuelewa kuwa nchi yetu itadumu kuwa na amani hata pasipo uongozi wa ccm.
Amen.