The Priest
JF-Expert Member
- Dec 8, 2010
- 1,029
- 256
Wakati usajili wa wanafunzi wa mwaka wa 3,college ya sayansi ya jamii,ukikamilika jana,kwa kupitia nyaraka zote za malipo ya ada,leo mitian ya final inaanza,lakini wanafunzi wote ambao wanadaiwa ada au pesa yeyote(direct and indirect costs) ambao ni zaidi ya 100 hawatafanya mitiani hiyo hadi pale watakapolipia gharama hizo ndipo watapewa mitihani maalum(special exams) mwezi september,nikiwa katika eneo hilo la usajili jana jioni,nimeshuhudia watoto wa maskini wakitokwa na machozi kufuatia uamuzi huo,na baadhi wakakumbuka hadi ahadi ya mhe.rais kuwa"hatafukuzwa mwanachuo yeyote kwa umaskini wa wazazi wake"sasa katika hili uongozi wa chuo umewabagua watoto wa maskini..nawasilisha