Ni siku ya3 wanafunzi wa education hawajapata maji. Kwani udom ni social na infomatics tu? Wadau naombeni muwaambie DOWASA chuo hakijafungwa chote. Au hawasomagi JF?
nawasikitikia sana kizazi hiki cha wanafunzi wanaosoma Udom, wanapata taabu kubwa sana,,, ila Mungu yupo pamoja na ninyi, ipo siku vilio vyenu vyote vitasikiwa na haki yenu mtaipata,,, jana nashangaa sana kusikia taarifa kwamba wanafunzi waliomaliza undergraduate hapo hapo udom wakiapply 4 masterz hapohapo udom wanagoma kuwachukua, kisa hawakufanya field wakiwa undergraduates,,, sasa kama hapo hapo wanakataliwa, ni wapi watakapokubaliwa?? Hata uko makazini itakuaje bandugu?? Kilio kikubwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.