UDOM hapakaliki; wanafunzi kumi wamefukuzwa bila kosa

Hebu tuhabarishane vya kutosha juu ya jambo hili.

Kusije kukawa ni kwamba baadhi ya wanafunzi wa vyuo vikuu nchini hivi sasa watakua wameanza kuwindwa na kuadhibiwa kutokana na misimamo na maoni yao juu ya mambo mbalimbali kisiasa nchini.

Tunatambua ukweli kwamba hadi hivi sasa UDOM ni miongoni mwa vyuo vikuu rafiki na muhimu sana katika harakati kote nchini kupiga vita UFISADI NA UCHAKACHUAJI wa aina yoyote nchini hivyo hatuna budi kuwapeni nafasi ya pekee hapa JF pindi mnapofikwa na jambo.

Tupo hapa JF tunasubiri habari zaidi juu ya nini itakua imesababisha mwanafunzi hata akafukuzwe chuo nchini. Tupeni ukweli na ukweli mtupu hapa enyi wahusika.
 
hii ndo tatizo ya kuingiza siasa kwenye elimu
maana hiki chuo sisiemu ndo kitu pekee wanachojigamba nacho-kumbe hakuna hata practical-ni sawa na shule za kata ambavyo hawana maabara
NDO MAANA NASEMA LILE TANGAZO LA HAKI ELIMU HAWAJAKOSEA KABISA
 
Muhimu sana hilo mkuu nakuunga mkono.

Majina kuyapata ni issue wakubwa, ila yakipatikana nitawapandia hewani, kimsingi siasa imetawala ktk chuo hiki hasa UCCM ndio maana yanakwenda holela holela, wengi wanasema chanzo cha haya yote ni MLACHA.
 
Pia kuna tetesi kuwa kuna fedha za chama fulan zimemwagwa chuoni hapo kuhakikisha watu wao wanashika nafasi za juu katika serikali ya wanafunzi! Kutimiza adhma hiyo fomu za kugombea nyadhifa hizo zimepanda toka 50,000/= hadi 750,000/=
 
nani alipapaswa kufukuzwa mkuu wa chuo anayetuandalia wataalamu wanaojua THEORY bi;a vitendo au wanafunzi wanaosukuma chuo ili wapate elimu bora? BONGO SHAMBA LA BIBI HAKI ZA WANANCHI ZIKO PENDING MPAKA SERIKALI ITAKAPOENDESHWA NA WASIKIVU
Wanafunzi kumi wa college of informatics wamefukuzwa kutokana na maandamano ya college hiyo yaliyofanyika hivi karibuni kupinga matokeo ambayo yamekuwa pigo kwao, taarifa inazidi kueleza kuwa, college hiyo haina practical ikiwa masomo yao ya information technology yanahitaji vitendo zaidi. Hivi sasa wanafunzi wa college of education wapo katika mkutano wa dharura kujadili hilo na ikiwezekana watoe kauli kwa chuo juu ya waliofukuzwa kwa uzembe wa utawala wa chuo, mbali na hayo, pia watajadili ubadhilifu wa fedha uliofanywa na serikali ya wanafunzi (UDOSO) ili wajue hatma ya fedha hizo, ikiwa vugu vugu hili litaendelea, kunaweza kutokea mgomo tena kwenye college ya education (COed). Chanzo ni college of informatics & COed.
 
Wanafunzi kumi wa college of informatics wamefukuzwa kutokana na maandamano ya college hiyo yaliyofanyika hivi karibuni kupinga matokeo ambayo yamekuwa pigo kwao, taarifa inazidi kueleza kuwa, college hiyo haina practical ikiwa masomo yao ya information technology yanahitaji vitendo zaidi. Hivi sasa wanafunzi wa college of education wapo katika mkutano wa dharura kujadili hilo na ikiwezekana watoe kauli kwa chuo juu ya waliofukuzwa kwa uzembe wa utawala wa chuo, mbali na hayo, pia watajadili ubadhilifu wa fedha uliofanywa na serikali ya wanafunzi (UDOSO) ili wajue hatma ya fedha hizo, ikiwa vugu vugu hili litaendelea, kunaweza kutokea mgomo tena kwenye college ya education (COed). Chanzo ni college of informatics & COed.

Hiyo ndiyo siasa, pamoja na kwamba katika vyuo vikuu wanafunzi wanafundishwa kuwa huru kufikiri na ku-challenge bila uoga, lakini wanasiasa na siasa yao huwa hawapendi kuona wanafunzi wanakuwa huru kufikiri, kutambua na ku-challenge, ndiyo maana wameamua kuwavurugia maisha hao wanafunzi
 
mkuu yaani ni kama vile chuo kifanya admission upya, hiyo faculty inahitaji wanafunzi wenye IQ level za juu, siyo wasioweza kuanalyse situation rahisi rahisi au wanaoweza kuamini uongo kirahisi rahisi hivyo. wanakuwa kama waandishi wa habari za udaku wanaoamini kila kitu wanachoambiwa.

we ndio kilaza kushnda wote,we kiongoz wa serikal amap6waahid watu wazma wasomi alafu hatekelez unategemea nn..we bwabwa kumbuka hawa wanafunz wa COLLEGE hii wanasoma mambo ya IT,so laptos ni essential kwao
 
kwa hiyo hapa mimi nafikiria kuwa mh Pinda angewaahidi kuwa kiLa mmoja atapewa gari let say jaguar wangeamini na kwenda kuandamana sio?wanashindwa kujua akili za wanasiasa !!!!!!!!!!!!!!!!! nimeiweka hapa down kama hawaijui
jaguar-xf.jpg


jaguar_xf_131.jpg

be serious 4 once, asshole
 
Unasema fomu za kugombea nyazfa za serikali ya wanafunzi zinapatikana kwa sh. 750,000/- !!! You must be wrong kwani wanagombea urais wa nchi!?
 
Unasema fomu za kugombea nyazfa za serikali ya wanafunzi zinapatikana kwa sh. 750,000/- !!! You must be wrong kwani wanagombea urais wa nchi!? Halafu ni pesa za chama kipi zilizopelekwa chuoni, hapa jf hatufichi jambo.
 
we ndio kilaza kushnda wote,we kiongoz wa serikal amap6waahid watu wazma wasomi alafu hatekelez unategemea nn..we bwabwa kumbuka hawa wanafunz wa COLLEGE hii wanasoma mambo ya IT,so laptos ni essential kwao

IT ndio nini wewe? acha ushamba , nani kakuambia kuwa kusoma IT ndio inabidi watu wakuhusudu kama king? who are you by the way?nenda uarabuni watakununulia laptop unayoitaka , lakini sio serikali ya Tanzania
 
A million Dollar question that is badly begging for serious answers out there!!!

Nani alipapaswa kufukuzwa mkuu wa chuo anayetuandalia wataalamu wanaojua THEORY bila vitendo au wanafunzi wanaosukuma chuo ili wapate elimu bora?

BONGO SHAMBA LA BIBI HAKI ZA WANANCHI ZIKO PENDING MPAKA SERIKALI ITAKAPOENDESHWA NA WASIKIVU
 
Back
Top Bottom