Ni wiki moja sasa imepita tangu chuo kifunguliwe lakini bado wanafunzi hawajapata pesa yao ya mkopo has wananafunzi wa mwaka wa 2 na wa 3.
Wanafunzi wa kitivo cha elimu walimbana rais wao aitwaye Machumu na akatoa jibu kwamba kufikia kesho saa tano wanafunzi wote watakua wameingiziwa hela zao.
maswali:
Kwanini hakuwajulisha wanafunzi mapema kua ifikapo saa tano wataingiziwa hela zao hadi walipo mbana?
Je!Huu si uongo na uzushi?
Wanafunzi wa kitivo cha elimu walimbana rais wao aitwaye Machumu na akatoa jibu kwamba kufikia kesho saa tano wanafunzi wote watakua wameingiziwa hela zao.
maswali:
Kwanini hakuwajulisha wanafunzi mapema kua ifikapo saa tano wataingiziwa hela zao hadi walipo mbana?
Je!Huu si uongo na uzushi?