ABEDNEGO CHARLES
JF-Expert Member
- Aug 22, 2012
- 567
- 104
Form iv wako university almost zote
out,st.joseph,st. agustine,teku n.kTaja university inayochukua 4m four
High quality university ndo chuo gani hicho tanzaniaJenga hoja
Hujui hata kujenga hoja kwa TAARIFA yako nimechaguliwa high quality universty
Div 4 Degree Kutokea Wapi??Form 6 Au??Mbna Bado Hujaweka Maelezo Yanayotosha 2pate Cha KuchangiaDiv 4 degrees????
Onyesha udhaifu wa hiyo hoja.Hoja dhaifu
kweriUmeona sasa hujachaguriwa wa kwanzakuraumu umechaguriwa kuridhika vigumu kwani were una four waache wenye four nao ni binadamu kama wewe
Bias tu huna jipyaMiongoni mwa vyuo vya ZOA ZOA ni Dodoma hiki chuo kinamambo ya ajabu sana
Yaani kweli div four MTU anasoma university
Pumbafu kabisa ndo maana wanakiita cha kata
NICHUO GAN KIPO HIGH QUALITY HAPO BONGO?Jenga hoja
Hujui hata kujenga hoja kwa TAARIFA yako nimechaguliwa high quality universty
Jenga hoja
Hujui hata kujenga hoja kwa TAARIFA yako nimechaguliwa high quality universty
Labda kwakuwa UDOM kina uwezo wa kudahili wanafunzi wengi sana, ukilinganisha na vyuo kama UDSM, ambapo ushindani unakuwa mkubwa, kwahiyo wanaishia kuchukua division za juu.Sijaboreka ila kama msomi Nina haki ya kulijadili
Kwani vyuo vingine mbona vinachukua cream
Why udom??
Ebu mwambie..!!! Binadamu bnaWakichaguliwa lawama
Wasipochaguliwa lawama
Kwani wenye four wakichaguliwa inakuumaje sasa?
Acha wivu
Hahahahah..!!!Mkuu wewe umesoma chuo gani mbona kujenga hoja tu shida unaelimu kweli au na wewe umezolewa?