Kama wapo wenye four wakachaguliwa kweli degree pia inawahusu hao hao TCU/NACTE, we hutakiwi kuboreka kiasi ikoDiv 4 degrees????
Miongoni mwa vyuo vya ZOA ZOA ni Dodoma hiki chuo kinamambo ya ajabu sana
Yaani kweli div four MTU anasoma university
Pumbafu kabisa ndo maana wanakiita cha kata
Kama ni chuo cha Kata tutajua acha tukasome sisi we jishauwe hapo na umeishia vi College uchwara afu tutakutana jobKumbe na wewe ni kakilaza
Serikali inahamiaje chuo cha kata ...!
Kwani zamani mbona ulikua hivyo hivyo TCU walipokuwa wanapewa cutoff za chuo cha Dodoma kwa ajili ya kudahili wanafunziDogo unaujua mchakato unaofuatwa mpaka mwanafunzi kuchaguliwa chuo fulani chini ya TCU na NACTE?
Kama unaujua basi jitathmini upya uone anayempa sifa mtu wa division 4 kuingia chuo kikuu ni nani kati ya chuo husika na TCU
Hivi na wewe unajihesabu umesoma kwa mwandiko huo....jichunguze wewe kwanza kabla ya kumuangalia mwenzako...hicho chuo ulicho somea wewe(kama kweli umesoma) kinatakiwa kuchunguzwaMiongoni mwa vyuo vya ZOA ZOA ni Dodoma hiki chuo kinamambo ya ajabu sana
Yaani kweli div four MTU anasoma university
Au ndo maana wanakiita cha kata
Miongoni mwa vyuo vya ZOA ZOA ni Dodoma hiki chuo kinamambo ya ajabu sana
Yaani kweli div four MTU anasoma university
Au kabisa ndo maana wanakiita cha kata
Kwani UDOM wanadahili wanafunzi? Si T C U na NACTE ndio wenye jukumu hilo? Udom ni host tu. Fikiri kabla ya kuandikaChangia hoja usitake kujua elimu yangu kama unashindwa kujenga hoja kaa kimya
Hoja dhaifuNimependa uzi wako kwani unaonyesha jinsi tunavyo angalia mambo kwa dhana tofauti. Udahili Tanzania unakuwa regulated na TCU na wao ndio wanaoweka ufaulu wa chini unaokubalika sio UDOM inayofanya hicho wala si chuo kingine chochote. Kama una point 4 kwenye masomo mawili na nafasi ipo kwa nini UDOM wasikuchukue? Pia wanapochikua hawaangalii kama una division gani wanaangalia kama una point ngapi na kutokana na program umefaulu masomo gani.
Unashindwa kuelewa mtanzania anaetaka au anaefurahia vijana wenye sifa wasidahiliwe vyuo vikuu halafu kila siku tuna lalamika nchi jirani zina udahili mkubwa. Division 4 kusoma university kuna tatizo gani-inategemea anachukua nini (kuna course fupi, kuna certificates)-issue sio kusoma university bali anasomea nini na level gani.