NOT FOUND
Senior Member
- Mar 14, 2011
- 158
- 59
wana UDOM chuo chetu kinavituko haswaaaaa cheti changu picha ya mwingine..... kweli waungwana tutafika |
-
Friday at 12:28pm- xxx ha ha ha changu kiliandikwa lower secnd na ni upper second ila jna lngu na gpa iasoma soo nukabeba ha ha ha haFriday at 12:32pm · Like
- xxx kama ni wizi ulitaka kufanyika jaribu kitoa ONYO !! coz hii ni aibuFriday at 12:32pm · Like
- xxx nimewaachia walekebishe ila inaboa sanaFriday at 12:34pm · Like
- xxx mwajuma msangi chake kiliandikwa jina la mwanaumeFriday at 12:36pm · Like
- xxx bola jina utasema typing error bt picture iyo sooo wanataka kunichakachuaFriday at 12:38pm · Like
- xxx changu kiliandikwa male badala ya female. hawako seriousFriday at 12:44pm via mobile · Like
- xxx ahhhh so ukafanyaje?Friday at 12:46pm · Like
- xxx nimekiacha walidai watarekebisha na sijui lini!Friday at 12:47pm via mobile · Like
- xxx DAH, MMENISTUA NGOJA NA MI NIFATILIE CHANGU WAWEZA KUTA KIMEANDIKWA " NOT RECOGNIZED"Friday at 12:48pm · Like
- xxx haha haha kila mtu na bahati yake kaka usiogopeFriday at 12:49pm · Like
- xxx DU.. NSHA OGOPA ASEE.. MARCH HUYOO UDOMFriday at 12:50pm · Like
- xxx unaweza kuta ukapewa cha masterz au postFriday at 12:52pm · Unlike ·
- xxx Mi chet changu matokeo ya mtu wa EduFriday at 12:55pm via mobile · Like
- xxx ahhhh hiyo kali kakaFriday at 12:56pm · Like
- xxx wakinipa cha masterz sitawaka.. ntaondoka taratiibu back homFriday at 1:03pm · Like
- xxx sawa na ukikuta certficate utasepaFriday at 1:04pm · Like
- xxx we we weee.. certificate ntawaka kuliko hata wangekosea jina!Friday at 1:14pm · Like
- xxx HAYA BABA TUSUBIRI TUONEFriday at 1:20pm · Like
- xxx Watu wa info nasikia wengine wamewekewa wamesoma international relations kama moja ya course, kweli kale kajina wanakotumia haters kanakistahili hiki chuo hahaaa.Friday at 1:30pm · Like
- xxx cha kata mi nimethibitisha hilo anaebisha kazoea ubishiFriday at 1:47pm · Unlike ·
- xxx Jamani mbona mnanitisha je sisi si ndo itakuwa balaa.Friday at 2:51pm via mobile · Like
- xxx usiogopeFriday at 2:56pm · Like
- xxx Chakwangu nimechanganyiwa na course za PSPA wakati mi SOCIOLOGY halafu makarai.Friday at 6:48pm via mobile · Like
- xxx kuweni wavumilivuYesterday at 12:29am · Like
- xxx MIMI MWENYEWE WALINIWEKEA KOZI AMBAYO SIKUWAHI KUISOMA.PALEU UDOM NI POLITIKI TUYesterday at 10:16am · Like
- xxx Kama ulipopikwa kitaaluma ni politics tuuu wewee zao lao c ndio politcs zaid had balaaaaaaaaaaa.................................Yesterday at 11:55am · Like
- xxx chuo cha kisiasa kileYesterday at 1:58pm · Like
- xxx Nami changu kiliwekwa picha ya mtu wa Education, ila infos zote ni zangu. Nilijaribu kufuatilia chanzo cha makosa hayo, & taarifa za kutoka kwa baadhi ya Adm staff, ni kuwa chanzo cha hayo yote ni yule mama wa Admision "mama mwaipyana" mana...See More
KAAAZI KWERIO KWERI
N.B: Hizo xxx ni majina ya wachangiaji