Semilong
JF-Expert Member
- Mar 5, 2009
- 1,712
- 219
kila kijana TZ anataka kuwa fisadi. kuwa fisadi bongo ni sifa, vijana wanaona viongozi wanavyopata utajiri wa haraka na wao ndio wanataka huo utajiri wa haraka...
kila mtu bongo anakuambia sitegemei mshahara, unadhani anamahanisha nini...
wengine wanasema serikali mshahara kidogo lakini dili kibao....
ukiwa umeotoka nje unatafuta kazi unataka mshahara mkubwa marafiki zako wanakuambia mshahara si kitu bwana we chukua tu kazi ukifika hapo mara unaanza kupata vidili kibao...
huyo kapuya anasema watu wanaiba vitu vidogo kwa hiyo anafurai wale wanaoiba vitu vikubwa
sababu ya wageni wengi ni kuwa makampuni ya kigeni hayataki ku-train local people, ulaya wenyewe wanatrain graduates wao kwa nini bongo hawataki...
ukitaka kukomesha uwizi mdogo lazima ukomeshe uwizi mkubwa kwanza na uvivu, hii ni dhairi kabisa kapuya ni mvivu na ametafuta kisingizio
TZ hamna work ethics kwa ajili ya rushwa, mtu yupo kazini kwa ajili ya mtu fulani...
kama akijua uzembe utamfanya afukuzwe kazi lazima atajikaza tu..
"angalia dereva wa daladala lazima apeleke hesabu kwa bosi jioni kila siku anajua kama hesabu haijatimia kazi anayo"
kila mtu bongo anakuambia sitegemei mshahara, unadhani anamahanisha nini...
wengine wanasema serikali mshahara kidogo lakini dili kibao....
ukiwa umeotoka nje unatafuta kazi unataka mshahara mkubwa marafiki zako wanakuambia mshahara si kitu bwana we chukua tu kazi ukifika hapo mara unaanza kupata vidili kibao...
huyo kapuya anasema watu wanaiba vitu vidogo kwa hiyo anafurai wale wanaoiba vitu vikubwa
sababu ya wageni wengi ni kuwa makampuni ya kigeni hayataki ku-train local people, ulaya wenyewe wanatrain graduates wao kwa nini bongo hawataki...
ukitaka kukomesha uwizi mdogo lazima ukomeshe uwizi mkubwa kwanza na uvivu, hii ni dhairi kabisa kapuya ni mvivu na ametafuta kisingizio
TZ hamna work ethics kwa ajili ya rushwa, mtu yupo kazini kwa ajili ya mtu fulani...
kama akijua uzembe utamfanya afukuzwe kazi lazima atajikaza tu..
"angalia dereva wa daladala lazima apeleke hesabu kwa bosi jioni kila siku anajua kama hesabu haijatimia kazi anayo"