Walioidhinisha hiyo MoU ni CDM au ccm? Kwa Kweli kama ni ccm au cuf ndio wanafanya huo ujinga wa kuwatumia hao wachumia tumbo wanaojiita viongozi wa dini, narudia tena kama ni ccm au cuf hawafai hata kuitwa vyama vya siasa. Hawafai hata kuongoza nyumba kumi. Hivi waislamu hawaoni dini yao inadhalilishwa na watu kama hawa wanaoeneza upuuzi huu? Nadhani ni wakati wanaopenda uislamu kukataa hawa wachumia tumbo wanaotumiwa na wanasiasa.chadema kama wanakanusha hawatumikiikanisa. WAHOJI MATUMIZI YA MOU yanayotolewa na serekali kwa kanisa.
Jakaya Mrisho Kikwete unapeleka nchi yetu wapi na hizi siasa za kugawa watu kidini unazozipalilia?