Leonard Robert
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 11,064
- 7,196
Hivi jk yuko hi kweli? Au yuko Dubai anakula bata, je anayasikia haya shekhe? Je kkkt,R.C,wasabato, WALOKOLE wa madhehebu yote nao watoe ya kwao? Hivi hawa waislam wanapewa na nani ruhusa ya kutoa matangazo ya HOVYO kwa waTanzania? Au kisa raisi muislam mwenzao..huyu shekhe kafundishwa maadili ya kazi yake,kumbe wanataka kadhi ili wafanyie upuuzi huu..hiv wao kwanini wanapenda sana kuanzisha fujo fujo za hovyo kabisa,huyo mungu wa shekhe huyo ni mungu wa aina gani anayempa maono ya kijinga ya kugawanya watu huo ubabe wa kiboya umepitwa na wakati..waeneze dini yao kwa akiri kuliko kutumia siasa..hata wengne wanaweza kufanya hayo,ila wanawaona kama vichaa hawataki kulumbana..