Wizara ya ardhi inayoongozwa na mseminari John Chiligati na Katibu Mkuu mseminari Salome Sijaona imepokea maelekezo kutoka uongozi wa juu wa makanisa kugawa viwanja kwa wakristo wengi iwezekavyo na makanisa katika miji ya yenye waislamu wengi.
Kwa kuanzia mkakati huu wa makusudi umejikita kwenye mradi wa viwanja 20,000 Dar Es Salaam na ambao takwimu zinaonyesha zaidi ya asilimia 80 wamepewa wakristo.
Meneja wa mradi ( marehemu ) kwa sasa peke yake anamiliki viwanja zaidi ya 100 sambamba na hilo Mama Sijaona nae ana hodhi mamia ya viwanja vya beach huko Kigamboni.
Wakazi wa Kgamboni ambao wengi wao ni waislam wanaondolewa kwa nguvu kwenye maeneo hayo ili kupisha "wamiliki" wapya wa viwanja hivyo.
Habari ndio hiyo
Kwa kuanzia mkakati huu wa makusudi umejikita kwenye mradi wa viwanja 20,000 Dar Es Salaam na ambao takwimu zinaonyesha zaidi ya asilimia 80 wamepewa wakristo.
Meneja wa mradi ( marehemu ) kwa sasa peke yake anamiliki viwanja zaidi ya 100 sambamba na hilo Mama Sijaona nae ana hodhi mamia ya viwanja vya beach huko Kigamboni.
Wakazi wa Kgamboni ambao wengi wao ni waislam wanaondolewa kwa nguvu kwenye maeneo hayo ili kupisha "wamiliki" wapya wa viwanja hivyo.
Habari ndio hiyo