Nemesis
JF-Expert Member
- Feb 13, 2008
- 5,460
- 4,359
sijui lakini nawafahamu lecturers na assistant lecturers wengi waliohama na kukimbilia vyuo vingine kama kule Mazengo (nimesahau jina ya chuo) na taasisi ya maendeleo (IRDS). Sijui shida ni nini kwani si kawaida mtu kukimbia chuo kikubwa kama UDOM na kwenda kwenye Institute ya Rural Development Studies.
Nami nadhani kuna kitu kikubwa tu pale UDOM ila sijui ni nini na sina hakika kama ni udini.
Tatizo linaloendana na hili liliwahikuwepo pale Chuo Cha Ardhi miaka ya 90 ambapokilikuwa kinajulikana kama chuo cha wachaga. Wakaja kusambaratishwa miaka ya 2000 baada ya Prof. Idris Kikula kuwa Principal. Baada ya hapo chuo kinaenda murua kabisa.
Sasa nitashindwa kumwelewa Prof. Kikula kama ataacha mambo ya kibaguzi hapo UDOM. By the way Prof. Kikula ni VC mzuri na ni jamaa mwenye busara sana. Kinachotakiwa mwenye malalamiko ayafikishe, yatashughulikiwa tu. Sidhani kama uongozi umeshindwa, maybe haujang'amua tatizo.
Nami nadhani kuna kitu kikubwa tu pale UDOM ila sijui ni nini na sina hakika kama ni udini.
Tatizo linaloendana na hili liliwahikuwepo pale Chuo Cha Ardhi miaka ya 90 ambapokilikuwa kinajulikana kama chuo cha wachaga. Wakaja kusambaratishwa miaka ya 2000 baada ya Prof. Idris Kikula kuwa Principal. Baada ya hapo chuo kinaenda murua kabisa.
Sasa nitashindwa kumwelewa Prof. Kikula kama ataacha mambo ya kibaguzi hapo UDOM. By the way Prof. Kikula ni VC mzuri na ni jamaa mwenye busara sana. Kinachotakiwa mwenye malalamiko ayafikishe, yatashughulikiwa tu. Sidhani kama uongozi umeshindwa, maybe haujang'amua tatizo.