We upo pale kama kimvuli tu,Prof Kikula mwenyewe alikiri kuwepo huo udini na kulitupia lawama baraza la Maaskofu uje kuwa wewe.
Unajua sbbu za uchaguzi wa viongoz colege ya eductn kufanyika mara mbili na kula za mwanzo kuchomwa moto?
Kuwepo udom si kujua kila ki2 wewe Udini upo tena wa hali ya juu,
Nenda Informatics pale utakuta Wazenji na waislamu wengine wanafanya Discusion kwenye vyumba vyao vya ibada,ukiingia Mkristo Waitwa Kafiri
msituchokoze tuteme tunavyovijua kuhusu udini Udom. usipinge hoja kama haijui wewe?
Umewah kujiuliza Kwanini Dar post ya Mkuu wa mkoa wanakalia waislamu? Kuna siri nyuma yake.
Huwa napenda sana kukutana Na vilaza kama wewe.acha izo kwa hiyo kikula akisema ndo msahafu amesema mangapi ya uongo,na mi kweli ni kimvuli pale wewe ni hewa unaona mambo juu juu tu na kueneza izo chuki zenu mnaacha kusoma mnapoteza mda kubishana na dini zenu wakati hata uhakika wa kwenda pepön hamna usikurupuke na kuropoka.
Naomba kuuliza jamani ni kweli kila block(bweni) hapo UDOMU kuna chumba special kwa kusalia waislam?Tujurishane.
Kuna tetesi kuwa chuo kikuu cha dodoma kimeandaa mkakakti wa kuhakikisha waajiriwa wengi wanatoka kwenye dini moja kubwa hapa nchini ambayo hadi sasa watawala wake wengi wa juu ni waumini wa dini hiyo.
Baada ya taarifa hizi kuenea kwa kasi miongoni mwa watumishi wa chuo hicho na jamii ya watanzania, imebidi chuo kisitishe zoezi la kuwaandikia barua waajiriwa wapya waliofanya usaili miezi miwili iliyopita. Inaelezwa kwamba zoezi la kuwaajiri walimu wengi kutoka kwenye dini hiyo ni agizo maalumu kutoka ktk ofisi ya Rais lengo likiwa ni kuhakikisha kuwa chuo kinapata wataalamu wengi zaidi wa imani hiyo kama mkakati wa kuhakikisha wanakuwepo katika ngazi za maamuzi ndani ya chuo hicho.
Hata hivyo imebainika kuwa chuo hiki ndiyo kinachoongoza kwa kuwa na wahadhiri wasaidizi wengi wanaotumia majina yasiyo yao wakati wa kupata ajira. Wengi wa wahadhiri wanatumia vyeti ambavyo sio vyao. Si mnajua kilianzishwa kisiasa hivyo ilikuwa rahisi kwa watu kupata ajira kwa kutumia vyeti vya wengine.
Kwa sasa jamii ya chuo hiki wanasubiri kwa hamu uteuzi wa wahadhiri hao wapya wa chuo. Tusubiri tuone mwisho wake utakuwaje!
Kwani ajira inatolewa kwa kufuata dini. Imani yangu ni kuwa ajira chuo kikuu huwa ina vigezo maalum. Sasa kama mtu ana sifa stahiki tumwengue kwa kuwa ni dini fulani? Nundependa kuamini kuwa kama imetokea kuwa walioajiriwa wengi ni wa dini fulani, basi ni "coincidence" na siyo harua za makusudi.You said it yuorself!
hakuna cha kujadili hapa kwani mada zote za udini huwa haziishi kwa hoja bali kwa matusi, tuheshimiane. Mimi naishi na wakiristo wa3 in a room pale udom na huwezi amini tumekua kama ndugu hata nikisahau kuswali wananikumbusha, sasa hizi ishu za chuki zitatufikisha pabaya.
yani ungesema kwa uwazi tu kwamba dini yenyewe ni ya wale wanaongoza kwa kujilipua wakiwa na akili ndogo kuwa wataenda peponi kwa kutetea dini iliyoanzishwa na mfanyabiashara na mpenda wake za watu................kiukweli hali ya UDOM inatisha, wabongo acheni ubishi.....afu kuwa wazi zaidi kwa kutaja mwenye ofisi na siyo ofisi yote......another thing....hawa waislam hata ukiwawezesha vp, hawawezi, marehem sheikh yahya alisema siku moja, ili sehemu/ofisi/nchi yoyote iendelee, lazima kuwe na mkristo.............we cheki katika utawala upi wabongo waliishi kwa amani na utulivu, pamoja hela haikuwepo, lakini hatukushuhudia vifo na fujo kama tunavyoshuhudia saiv......GOD BLESS AFRICA, GOD BLESS TANZANIA, GOD BLESS CHRISTIANS.......
Macho yote yameelekezwa Igunga. Petty issues like this don't even deserve a room in here. I'm wondering how was it missed by mods sieve.
Macho yote yameelekezwa Igunga. Petty issues like this don't even deserve a room in here. I'm wondering how was it missed by mods sieve.
jamani mi nategemea kuanza masomo km 1st year hapo udom,sas nnapoziona thread nyng ambazo zimekuwa zikiizungumzia udom kwa mabaya huwa naumia sn na ht wkt mwengne kujutia maamuz yang ya kwnn nlichagua hcho chuo!jamani mi nlkuwa naomba mukipumzishe hk chuo au hat km kuna mazur ya chuoni hapo bc yasemwe pia na sio kl kukicha kukitupia madongo tu,coz kwa namna hii hatutaweza kufkia malengo yetu ktk elimu.na kuhus huo udini mi cn uhakika ila nijuavyo mm ni kwamb udom ni SECULAR UNIVERSITY,Sas huo udini unakujaje hap?jamani hebu tujaribuni kufuta hy mitazamo hasi juu ya hk chuo.
jamani mi nategemea kuanza masomo km 1st year hapo udom,sas nnapoziona thread nyng ambazo zimekuwa zikiizungumzia udom kwa mabaya huwa naumia sn na ht wkt mwengne kujutia maamuz yang ya kwnn nlichagua hcho chuo!jamani mi nlkuwa naomba mukipumzishe hk chuo au hat km kuna mazur ya chuoni hapo bc yasemwe pia na sio kl kukicha kukitupia madongo tu,coz kwa namna hii hatutaweza kufkia malengo yetu ktk elimu.na kuhus huo udini mi cn uhakika ila nijuavyo mm ni kwamb udom ni SECULAR UNIVERSITY,Sas huo udini unakujaje hap?jamani hebu tujaribuni kufuta hy mitazamo hasi juu ya hk chuo.