Kiranja Mkuu
JF-Expert Member
- Feb 18, 2010
- 4,063
- 4,058
Nimeangalia phonebook yangu, watu wote wenye namba za Zantel ni waislam, whats wrong with this mtandao and udini?
Nimeangalia phonebook yangu, watu wote wenye namba za Zantel ni waislam, whats wrong with this mtandao and udini?
Wee mwaache tu huyu jamaa.....hajui hapa jamvini kuna mtu anaitwa Topical, akija hapa atampiga maswali hadi akimbie au aambulie bann.Ili utakuwa unaanzisha wewe,Zantel ni mtandao wa simu ambao naamini una malengo ya kibiashara.
Tena unasema umetazama Phone book yako. Hizo ni fikra mbaya na ambazo hazifai. Kumbuka kuwa mtandao wa Zantel umeanzia Zanzibar na umejipanua zaidi maeneo ya Dsm,Tanga na maeneo mengine ya pwani. Na ukitazama maeneo hayo yote utakuta idadi kubwa ya watu ni Waislamu.
Please tuache uvivu wa kufikiri....
KWANI KAMA KAMPUNI YA ZANTEL INA WATEJA WENGI WAISLAMU KWA NINI USIANZISHE YA KWAKO KWA AJILI YA WAPAGANI?
KWANI KAMA KAMPUNI YA ZANTEL INA WATEJA WENGI WAISLAMU KWA NINI USIANZISHE YA KWAKO KWA AJILI YA WAPAGANI?
Nimeangalia phonebook yangu, watu wote wenye namba za Zantel ni waislam, whats wrong with this mtandao and udini?
wewe ni hatar sana_kuliko Kibwetere, nadhan umetumwa kuwamwagisha watu damu
Mzee ukifuatilia majina ukadhani yanawakilisha dini utakuwa umeingia chaka la nguvu. Hebu angalia hiii:
1. Augustino Ramadhani
2. Samson Ally
3. ......
Jamani mwingine aongezee
Nimeangalia phonebook yangu, watu wote wenye namba za Zantel ni waislam, whats wrong with this mtandao and udini?
Wee mwaache tu huyu jamaa.....hajui hapa jamvini kuna mtu anaitwa Topical, akija hapa atampiga maswali hadi akimbie au aambulie bann.
Mzee ukifuatilia majina ukadhani yanawakilisha dini utakuwa umeingia chaka la nguvu. Hebu angalia hiii:
1. Augustino Ramadhani
2. Samson Ally
3. ......
Jamani mwingine aongezee
4.Asha-Rose Migiro
5.Baraka Hussein Obama
6.Zitto Zuberi Jackson Kabwe
7.Freeman Aikael Hamad Mbowe
8.Wilbroad P. Rashid Slaa
9.Halima Yohana Mdee
10.Tundu Mohamed Lissu
11.Joseph Ally Mbilinyi