Udhalimu wa Utumwa Zanzibar na Pemba: Mababu zetu waliteswa, walihasiwa, walibakwa, na kuuawa kinyama

Udhalimu wa Waarabu Zanzibar na Pemba: Ndugu zetu wali-teswa, -hasiwa, -bakwa, na kuuawa kinyama!

Asante kwa darasa, ila watakuja kina FaizaFoxy Baraghash na wengineo kupinga hili, ni ukweli usiofichika wakazi asili wa Unguja na Pemba (ambao ni wabara), kupitia mateso kama haya, hakuna huruma kwao wala kuwafungulia mashtaka waarabu wa Oman na Dubai kwa maovu waliotenda, bado kile kizazi cha machotara wataendelea kudai hakuna uovu kama huo, bado machotara watadai Asili yao na kwao ni Oman na Dubai, tukiwauliza wanaitaka Pemba na Unguja za nini wakati wana kwao, tena kuzuri na kumesheheni kila kitu? Hatupati jibu la kueleweka..
 
Jibu swali, wacha porojo:

Hivi Biblia hukumu yake ipi kwa wazinifu?
Hukumu ya uzinifu kwa mujibu wa biblia ni Kifo tena cha kupigwa mawe mpk kufa.
Na atakae anza kurusha jiwe ni BABA MZAZI WA MTOTO HUYO MZINIFU.
Tatizo wagalatia mistari km hii huwa hawasomewi kwenye zile misa zao za weekend.
Wanachosomewa ni ile mistari ya Kuambiwa watoe sadaka tu na kuimba kwaya.
Khalas.
 
Hukumu ya uzinifu kwa mujibu wa biblia ni Kifo tena cha kupigwa mawe mpk kufa.
Na atakae anza kurusha jiwe ni BABA MZAZI WA MTOTO HUYO MZINIFU.
Tatizo wagalatia mistari km hii huwa hawasomewi kwenye zile misa zao za weekend.
Wanachosomewa ni ile mistari ya Kuambiwa watoe sadaka tu na kuimba kwaya.
Khalas.
Lkn agano jipya hamna kitu kama hicho ambayo wakristo ndo imani yetu kama wafuasi Wa yesu
 
pasco,
Kila zama ina historia yake ya mazuri na mabaya. Hata waafrika zama za machifu walikuwa wakatili sana. Na zama za leo pia kuna ubaguzi ukatili na kiburi na dhulma karibu duniani kote. ukisema ya waarabu utashangaa ya wazungu ukishangaa ya wazungu utastajabu ya wahindi n.k. kufukua historia ili ujue jambo ambalo ukweli wake upo wazi kabisa ya kwamba sisi binadamu wengi wao sio watu wema na wakuaminika. Leo hii nchini mwetu yenye amani na upendo utasyasikia matukio ya mauji dhulma unyanyasaji ulio kithiri basi tuyatibu ya kwetu ambayo yana athari zaidi kuliko historia iliyopita. Tugange ya jayo yaliyopita si ndwele. Leo mimi na wewe na yule tutaifanyia nini jamii yetu ya kitanzania???? Ndio jambo la msingi je kimaadili na kibidamu tupo sahihi??
 
Asante kwa darasa, ila watakuja kina FaizaFoxy Baraghash na wengineo kupinga hili, ni ukweli usiofichika wakazi asili wa Unguja na Pemba (ambao ni wabara), kupitia mateso kama haya, hakuna huruma kwao wala kuwafungulia mashtaka waarabu wa Oman na Dubai kwa maovu waliotenda, bado kile kizazi cha machotara wataendelea kudai hakuna uovu kama huo, bado machotara watadai Asili yao na kwao ni Oman na Dubai, tukiwauliza wanaitaka Pemba na Unguja za nini wakati wana kwao, tena kuzuri na kumesheheni kila kitu? Hatupati jibu la kueleweka..

Kwanza rekebisha, ni darsa siyo darasa. Darasa ni lile lenye kuta nne, shuleni.

Tatizo lako kubwa ni ujinga uliojazwa na hao hao waliokuja kukufanya mtumwa. Wamekuaminishs kuwa wao ni Mungu na unawaabudu mpaka sanamu lao lililovishwa kishida.

Jinsi ulivyo punguani mpaka ukaabudu sanamu ntashangaa sana kama hutamuamini kila uongo atakao kujaza. Utaanza kuuona ukweli pale tu utapoacha kuabudu sanamu la mzungu.
 
Lkn agano jipya hamna kitu kama hicho ambayo wakristo ndo imani yetu kama wafuasi Wa yesu
Hebu yazingatie Mahubiri ya Yesu aliyotoa juu ya Mlima wa Zaituni:

Msidhani ya kuwa nalikuja kuitangua torati au manabii; la, sikuja kutangua, bali kutimiliza. Kwa maana, amin, nawaambia, Mpaka mbingu na nchi zitakapoondoka, yodi moja wala nukta moja ya torati haitaondoka, hata yote yatimie. Basi mtu ye yote atakayevunja amri moja katika hizi zilizo ndogo, na kuwafundisha watu hivyo, ataitwa mdogo kabisa katika ufalme wa mbinguni; bali mtu atakayezitenda na kuzifundisha, huyo ataitwa mkubwa katika ufalme wa mbinguni. Maana nawaambia ya kwamba, Haki yenu isipozidi hiyo haki ya waandishi na Mafarisayo, hamtaingia kamwe katika ufalme wa mbinguni.
 
Asante kwa darasa, ila watakuja kina FaizaFoxy Baraghash na wengineo kupinga hili, ni ukweli usiofichika wakazi asili wa Unguja na Pemba (ambao ni wabara), kupitia mateso kama haya, hakuna huruma kwao wala kuwafungulia mashtaka waarabu wa Oman na Dubai kwa maovu waliotenda, bado kile kizazi cha machotara wataendelea kudai hakuna uovu kama huo, bado machotara watadai Asili yao na kwao ni Oman na Dubai, tukiwauliza wanaitaka Pemba na Unguja za nini wakati wana kwao, tena kuzuri na kumesheheni kila kitu? Hatupati jibu la kueleweka..
Sikupingi kama ulivyo tanguliza, hasa kwa vile kasumba uliojazwa ni kubwa lakini nitakufahamaisha kama mwanafunzi wa UPE
From Wikipedia, the free encyclopedia
People have lived in Zanzibar for 20,000 years! During the Age of Exploration, the Portuguese Empire was the first European power to gain control of Zanzibar, and kept it for nearly 200 years!
Sasa katika kipindi hiki biashara ya utumwa ukanda huu wa Afrika haijashamiri wala kuanza. Jiulize Mreno kwa kipindi hicho cha miaka 200 alikuwa anawatawala nani? mazimwi, au wazanzibari? au wabara kusikia kuna mtawala kafiri wa kireno wakamfurahia na wakaanza kuja Zanzibar!

Kabla hata ya mreno kuja, Zanzibar ilikuwa na mtawala wake wakijadi. Malkia Mwana wa mwana, mtoto wa kitumbatu na wakaazi wote ni waislamu. Hawa ndio wazanzibari tuaowazungumzia, na kwao ni Unguja na Pemba, si bara

Waarabu wa Oman walikuja Zanzibar 1698 kumfukuza mreno.

Wazanzibari waliteseka zaidi wakati wa utawala wa makafiri wa kireno kuliko wakati wowote ule. Kama wazanzibari watakuwa na hamu za kuwafungulia mashtaka, utawala wa kinyama na kiutesaji kwa maovu waliowatendea wazee wetu kwa sababu tu ya kuwa waislamu na kukataa kuufuata ukafiri basi itakuwa ni wareno na si wakombozi wetu!

Anae hubiri vyengine ni "wakuja" na Zanzibar si kwao au ana uchungu jamaa zake waliuzwa kama watumwa, wakati wakamataji wakuu wa watumwa ni machifu wa kitanganyika. Sasa hawa ndio wanaotupa shida.!
 
Hebu yazingatie Mahubiri ya Yesu aliyotoa juu ya Mlima wa Zaituni:

Msidhani ya kuwa nalikuja kuitangua torati au manabii; la, sikuja kutangua, bali kutimiliza. Kwa maana, amin, nawaambia, Mpaka mbingu na nchi zitakapoondoka, yodi moja wala nukta moja ya torati haitaondoka, hata yote yatimie. Basi mtu ye yote atakayevunja amri moja katika hizi zilizo ndogo, na kuwafundisha watu hivyo, ataitwa mdogo kabisa katika ufalme wa mbinguni; bali mtu atakayezitenda na kuzifundisha, huyo ataitwa mkubwa katika ufalme wa mbinguni. Maana nawaambia ya kwamba, Haki yenu isipozidi hiyo haki ya waandishi na Mafarisayo, hamtaingia kamwe katika ufalme wa mbinguni.
Wayaudi walitaka kumpiga mawe mwanamke mzinzi,yesu aliwaambia aliye msafi ampige huyo mzinz hamna MTU aliyeweza.kama mmezoea kumpiga wanzinz ni nyie sio wafuas Wa yesu,ndo maana mnachoma wezi badala ya kuwapeleka kwenye mkondo Wa sheria
 
Back
Top Bottom