Rabi wa Leo
Senior Member
- Mar 5, 2012
- 104
- 25
MAKAMU wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Maalim Seif Sharif amesema kuwa vurugu zilizotokea kwenye uchaguzi mdogo wa Bububu zilisababishwa na Vikosi vya Ulinzi na Usalama vya SMZ, hivyo kumtaka Rais wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein kuchukua hatua. Source; Mwananchi.