Kitendo cha Rais Jakaya Kikwete kushindwa kutatua mgogoro wa madaktari baada
ya yeye mwenyewe kuingilia kati kinathibitisha wazi kauli ya Mnyika kuwa Rais huyu ni
dhaifu. ameshindwa ku offer leadership kwenye swala zima la madaktari na kitendo cha
tatizo hili kujirudia kinaonyesha wazi udhaifu wa kiongozi huyu.
ya yeye mwenyewe kuingilia kati kinathibitisha wazi kauli ya Mnyika kuwa Rais huyu ni
dhaifu. ameshindwa ku offer leadership kwenye swala zima la madaktari na kitendo cha
tatizo hili kujirudia kinaonyesha wazi udhaifu wa kiongozi huyu.