Hawa Investors wakutoka nje ya nchi wanapokuja kuwekeza hapa Tanzania, utasikia amewekeza 100 billion. 400billion etc, kumbe mtaji wenyewe ni 10 million.
Mfano: Wale mashujaa wa Tarime walipoaribu vifaa vya wachimba madini mgodini ambavyo ni ( Wheel loader 988H, Drill Rig, and Shovel). Walisema thamani ya hivyo vifaa ni $16.6 million=17 billion Tshs.) Ebu angalia thamani yenyewe ya hivyo vifaa hapa Chini kwenye attachment.
Kwa nini hawasemi bei harisi ya vifaa, ni kutaka kutolipa kodi miaka na miaka, milele na milele. Je kuna faida gani ya kuwa na Investors hawa. na Kwa nini stamiko isipewe mitaji na kuchimba madini kawa hayo makampuni yanatumia wataalamu wetu sisi wenyewe, vifaa vya kukodi kwa nini stamiko isifanye kazi hiyo badala ya Mzungu toka Ulaya.
This Day "damaged equipment include a caterpillar loader worth $1.6m, two shovel machines valued at $7m and $4m respectively, and a drill rig worth $4m,"
Mfano: Wale mashujaa wa Tarime walipoaribu vifaa vya wachimba madini mgodini ambavyo ni ( Wheel loader 988H, Drill Rig, and Shovel). Walisema thamani ya hivyo vifaa ni $16.6 million=17 billion Tshs.) Ebu angalia thamani yenyewe ya hivyo vifaa hapa Chini kwenye attachment.
Kwa nini hawasemi bei harisi ya vifaa, ni kutaka kutolipa kodi miaka na miaka, milele na milele. Je kuna faida gani ya kuwa na Investors hawa. na Kwa nini stamiko isipewe mitaji na kuchimba madini kawa hayo makampuni yanatumia wataalamu wetu sisi wenyewe, vifaa vya kukodi kwa nini stamiko isifanye kazi hiyo badala ya Mzungu toka Ulaya.
This Day "damaged equipment include a caterpillar loader worth $1.6m, two shovel machines valued at $7m and $4m respectively, and a drill rig worth $4m,"