Mracho Ngongoti
Senior Member
- Apr 11, 2012
- 133
- 84
Yaawaaa! Mpango-MPANGONI.!
Duh! Mi napita tu jamani,sikuwahi kusikia hizi habari tangu nizaliwe.
mkuu sidhani kama uko sahihi ina maana wanaozinyoa ni *******? nahisi kwa yule aliyesema wanakupima kwa kukohoa nahisi ndio sahihi kipimo tosha swala la nywele nahisi wengi huwa tunanyoa kila wiki tuna vipara kabisa maana ni moja ya uchafu ukikaa nayo muda mrefu.
mkuu sidhani kama uko sahihi ina maana wanaozinyoa ni *******? nahisi kwa yule aliyesema wanakupima kwa kukohoa nahisi ndio sahihi kipimo tosha swala la nywele nahisi wengi huwa tunanyoa kila wiki tuna vipara kabisa maana ni moja ya uchafu ukikaa nayo muda mrefu.
Aisee nilikuwa sijui binam yangu alifanya udahili wa kozi ya kwenda kusomea askari magereza alishapita hatua za mwanzo kabisa ni kuingia na kuanza kusoma ila katika kupimwa afya na mambo mengine kuna lingine limenisikitisha swala la kupimwa kama wewe ni mzima au umeshachakachuliwa sehemu zako za nyuma kama ni mtoto wa kiume aisee hili linahusiana vipi na kufanya kazi za uaskari magereza?? Nahisi ni aibu kubwa sana
Aisee nilikuwa sijui binam yangu alifanya udahili wa kozi ya kwenda kusomea askari magereza alishapita hatua za mwanzo kabisa ni kuingia na kuanza kusoma ila katika kupimwa afya na mambo mengine kuna lingine limenisikitisha swala la kupimwa kama wewe ni mzima au umeshachakachuliwa sehemu zako za nyuma kama ni mtoto wa kiume aisee hili linahusiana vipi na kufanya kazi za uaskari magereza?? Nahisi ni aibu kubwa sana
Aisee mnawezaje kunoa huko nyuma, msaada tafadhali