Kweli mkuu maana rushwa hizi ndizo zimepelekea umasikini wa watanzania na hata kukata tamaa kwa watanzania walio wengi hata kufikia kukosa imani na serikali yao.Hata hivyo tumechoshwa na habari za skendo za rushwa.
Dah, umejichanganya mkuu, hahaha... Wizi unaokataa usisemwe ndio umeletezea umasikini unaotaka kuukomboa.Hakuna muda wa kutosha wa kujadili watu wamepanga nini, wameiba sh ngapi n.k. Huu ni muda wa kujenga taifa letu changa lililokwama kwenye wimbi la umasikini.
Idd Simba
Hata hivyo tumechoshwa na habari za skendo za rushwa. Hakuna muda wa kutosha wa kujadili watu wamepanga nini, wameiba sh ngapi n.k. Huu ni muda wa kujenga taifa letu changa lililokwama kwenye wimbi la umasikini.
we ni mseeela kweli, unafikiria na meya wa darsasa hapa kuna ishu gani? Tayari tunafahamu kuwa hao simon group wamekuwa major shareholderz!
Hizo ni minutes za mkutano wa shareholderz! Ungeleta mkataba or certificates ya hizo share ambapo kwenye hizo certificates kumeonyeshwa vitu vya muhimu kama price per share ndio ningeona umefanya cha maana!
Hata hivyo tumechoshwa na habari za skendo za rushwa. Hakuna muda wa kutosha wa kujadili watu wamepanga nini, wameiba sh ngapi n.k. Huu ni muda wa kujenga taifa letu changa lililokwama kwenye wimbi la umasikini.
Ni kweli kabisa MMJ na inatia kinyaa ukisoma hizi documents ---Kisena Kisena and Simon Group why are you doing this to us!!!Wanasema "every cloud has a silver lining".. sijui ndio msemo unaofanana na "kila marefu..."? Thanks!
Kila mmoja wetu kachoshwa na hizi habari za ufisadi, wizi na ujambazi lakini zinabaki kuwa muhimu kwa sababu ndizo zinalikwamisha taifa katika wimbi la umasikini. Wakati tunaleta fito ili tujenge taifa wenzetu wachache wanazitumia kama kuni kupikia chakula chao. Mwita 25 tuendelee kuleta fito au tujiulize kwanini wenzetu wanazichoma moto? na sijui kuna uwezekano gani wa kujaza maji ndoo inayovuja.Hata hivyo tumechoshwa na habari za skendo za rushwa. Hakuna muda wa kutosha wa kujadili watu wamepanga nini, wameiba sh ngapi n.k. Huu ni muda wa kujenga taifa letu changa lililokwama kwenye wimbi la umasikini.