profkobayashi
JF-Expert Member
- Mar 29, 2011
- 224
- 71
wajinga ndio waliwao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanini hawajifunzi kutoka kwa watoto wa Gadaffi??mtoto wa RAIS anafanya anavyotaka ten yrs si miaka ningi historia itamhukumu vibaya sana. mungu ibariki Tanzania
Naunga mkono hojaTanzania itajengwa na wenye moyo na kuliwa na wenye meno!.
Kadri siku zinavyokwenda ndivyo ninavyozidi kumkumbuka Mwalimu Nyerere. Sera yake ya Ujamaa na Kujitegemea ililenga njia zote kuu za uchumi ziwe mikononi mwa umma ili kitakachopatikana, tukigawane kwa wote, Hali sasa ni tofauti, gap kati ya wenye nacho na wasionacho linazidi kukua. Sasa tuna makundi matatu ya nchi, Wenyenchi, Walanchi na Wananchi!.
Uliyefukuwa hili unatafuta roho zetu maana haya ndo yale mahangaiko ya awamu inayoitwa, "tunakumisi". Enzi za kila kitu kuibiwa. Leo hii bado watu wanasemanchi imeharibika! Pambaf!
Kutoka Msoga hadi Maswa kwenda kumdhamini Kisena kwani huko Maswa hakuna wanaccm wengine ?Ridhiwani si mbadhirifu ila watu wasiomtakia mema wamemjengea chuki bila sababu yoyote. Mtoa hoja hear and say is not an evidence. Unapo toa hoja tafadhali toa ushahidi mahiri ili usionekane una chuki binafsi.
Watanzania ni tofauti na binaadamu wengine. Sisi ni watii, wapole, wenye heshima, wanyenyekevu, wastahimilivu, wavumilivu na watulivu tunaokubali kila kitu tunachoambiwa na viongozi wetu.Tatizo ni kuwa watawala wamejiaminisha kuwa Watanzania ni binadamu tofauti na binadamu wengine kwamba wataendelea kuinama kwa heshima, kuzungumza kwa nidhamu na wataendelea kukubali tu. Tayari Watanzania wameshajionesha mara kadhaa sasa kuwa wako tayari kuipinga serikali yao waziwazi bila kujali gharama. Kwa kadiri serikali inaendelea kuact with utter contempt of the people ndivyo hivyo inazidi kuwasukumiza wananchi kwenye kota ya kukata tamaa.
We
Mwenzenu hofu yangu kubwa ni kwamba Tanzania tumekubali kuwa kama Nigeria. Na naamini tutakuwa kama Nigeria na ngoja tu mafuta yaanze kuja ndio tutakiona cha moto.
Paskali sio tu ni upole,tuna ugonjwa wa kuaminini miujiza.Watanzania ni tofauti na binaadamu wengine. Sisi ni watii, wapole, wenye heshima, wanyenyekevu, wastahimilivu, wavumilivu na watulivu tunaokubali kila kitu tunachoambiwa na viongozi wetu.
Hivyo tutaendelea kuinama kwa heshima, nidhamu na unyenyekevu na kukubali kila kitu.
P