zumbemkuu
JF-Expert Member
- Sep 11, 2010
- 10,831
- 8,620
Habari yenyu wadau,
nasikia jana kwenye news star tv walisema wale wanafunzi wahanga wa vyeti vya kumaliza UCLAS (sasa ARU) watapewa vyeti vyao UDSM, kwa mwenye taarifa naomba atujuze kama walisema lini wanatoa, mwaka wa 4 sasa sina cheti, asanteni.
nasikia jana kwenye news star tv walisema wale wanafunzi wahanga wa vyeti vya kumaliza UCLAS (sasa ARU) watapewa vyeti vyao UDSM, kwa mwenye taarifa naomba atujuze kama walisema lini wanatoa, mwaka wa 4 sasa sina cheti, asanteni.