Uchunguzi Wa Polisi na Taratibu Za Mahakama Zinapoingiliwa, Je TUNA Serikali?

Muke Ya Muzungu

JF-Expert Member
Jun 17, 2009
3,444
264
Hebu tuwekeni siasa ya vyama kando tuilijadili hili swala kwa undani. Huyu mwanamke Mange Kimambi amekuwa akikurupuka na shutuma lukuki. Amesema mengi sana kuhusiana na kifo cha kanumba. Kawashambulia viongozi wa CHADEMA, Kasema hajawahi kumuona kanumba wala kuangalia movies zake. Yaani amesema mengi sana ya kichochezi

Mange Kimambi lazima ashirikiane na serikali kuhusiana na kifo cha Kanumba. Hii ni kwa sababu, siku Kanumba alipofariki, usiku huo huo aliandika kwenye blog yake kwamba, Mpenzi wa Kanumba “Lulu” ndiye aliyempa Kanumba sumu. Jana karudi na tafsiri nyingine akidai kwamba, Lulu hakuuwa kwa kusudia bali alitumiwa na Ray kutokana na upelelezi wake akishirikiana na Hoysterbay Police. Tunaiomba serikali hasa polisi na mahakam zishirikiane naye huyu mwanamke, kwa maana ameshaingilia uchunguzi wao.

Ameingilia hadi mahakama kwa kutoa hukumu kwamba kuna watu,mtu (Ray) waliomtumia Lulu kumuua Kanumba kabla hata mahakama haijaanza kesi. Ina maana kwamba, anawafahamu au anafahamu mengi ambayo sisi hatuyajui na hata vyombo vya dola haviyajui. Kwa hiyo kama serikali ipo kweli, huyu mwanammke asiachwe huru hadi uchunguzi ukamilike. Ni maoni yangu
 
Freedom of speech.
What makes you guys to conclude that her information aren't real?? Tatizo tushazoea hadi iitishwe press?
That's how waandishi wa kujitegemea wanavyotakiwa kufanya. Hapo kosa ni la polisi, na kwa polisi wa Tz hii jinsi walivyo, hakyanani naamini huyu dada kapewa kweli hizo info. Wait and see.
:pizza:Freedom of speech:car:
 
Hebu tuwekeni siasa ya vyama kando tuilijadili hili swala kwa undani. Huyu mwanamke Mange Kimambi amekuwa akikurupuka na shutuma lukuki. Amesema mengi sana kuhusiana na kifo cha kanumba. Kawashambulia viongozi wa CHADEMA, Kasema hajawahi kumuona kanumba wala kuangalia movies zake. Yaani amesema mengi sana ya kichochezi

Mange Kimambi lazima ashirikiane na serikali kuhusiana na kifo cha Kanumba. Hii ni kwa sababu, siku Kanumba alipofariki, usiku huo huo aliandika kwenye blog yake kwamba, Mpenzi wa Kanumba “Lulu” ndiye aliyempa Kanumba sumu. Jana karudi na tafsiri nyingine akidai kwamba, Lulu hakuuwa kwa kusudia bali alitumiwa na Ray kutokana na upelelezi wake akishirikiana na Hoysterbay Police. Tunaiomba serikali hasa polisi na mahakam zishirikiane naye huyu mwanamke, kwa maana ameshaingilia uchunguzi wao.

Ameingilia hadi mahakama kwa kutoa hukumu kwamba kuna watu,mtu (Ray) waliomtumia Lulu kumuua Kanumba kabla hata mahakama haijaanza kesi. Ina maana kwamba, anawafahamu au anafahamu mengi ambayo sisi hatuyajui na hata vyombo vya dola haviyajui. Kwa hiyo kama serikali ipo kweli, huyu mwanammke asiachwe huru hadi uchunguzi ukamilike. Ni maoni yangu

kwanza karibu jf, pili inaonekana una hasira sana na mange, posti ya kwanza tu umeona iwe ni ya kumkandamiza kama sio kumuondoa mange kabisa, mpaka ukaona useme awekwe hadi uchunguzi ukamilike! nadhani hizi personal issues ungeziweka kando, ukaangalia kwanza upepo unavyovuma. coz kama amekosea kuna watu wazima viongozi huko juu ambao wa[po responsible na hii issue nzima wala haina haja ya wewe kuleta hiyo sredi hapa. pili kama wewe sio mwenye udakuzi basi ni fan wa udakuzi, ulipoona kule hakufai baada ya kumfungulia mange blog, ukaona ufungue account jf! sikiliza mdau, hii sio sehemu ya majungu, mayb hukohuko udaku kwenu au kwenye blog ya huyo mange! acha kuleta personal isues huku hazijengi!
 
kwanza karibu jf, pili inaonekana una hasira sana na mange, posti ya kwanza tu umeona iwe ni ya kumkandamiza kama sio kumuondoa mange kabisa, mpaka ukaona useme awekwe hadi uchunguzi ukamilike! nadhani hizi personal issues ungeziweka kando, ukaangalia kwanza upepo unavyovuma. coz kama amekosea kuna watu wazima viongozi huko juu ambao wa[po responsible na hii issue nzima wala haina haja ya wewe kuleta hiyo sredi hapa. pili kama wewe sio mwenye udakuzi basi ni fan wa udakuzi, ulipoona kule hakufai baada ya kumfungulia mange blog, ukaona ufungue account jf! sikiliza mdau, hii sio sehemu ya majungu, mayb hukohuko udaku kwenu au kwenye blog ya huyo mange! acha kuleta personal isues huku hazijengi!

Afadhali kumbe wengi tumeliona hili, nilijua nipo peke yangu. Apeleke udaku wake huko aliko utoa:disapointed:
 
Freedom of speech.
What makes you guys to conclude that her information aren't real?? Tatizo tushazoea hadi iitishwe press?
That's how waandishi wa kujitegemea wanavyotakiwa kufanya. Hapo kosa ni la polisi, na kwa polisi wa Tz hii jinsi walivyo, hakyanani naamini huyu dada kapewa kweli hizo info. Wait and see.
:pizza:Freedom of speech:car:
Can freedom of speech override the right of innocence of "Lulu" pending the Court's ruling?? Lulu does not deserve fair
hearing after fair investigation?? For the Great Thinker like you, not expected from you, the miscalculated reasoning like this one of "freedom of speech". Being "net zens" in this Cyber world does not warrant us to infringe rights of other "net zens" as well as of the citizens. The woman should be held accountable for the mischief.
 
Back
Top Bottom