MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,562
Dear JF members
Kwa mara ya kwanza ninarusha threads mbili kwa mpigo...............ninawaomba mnisamehe nimechanganyikiwa
Nauliza tu nini maana ya Usemi wa Uchungu wa mwana aujuaye Mzazi..............mzazi huyu ni yupi wa kike au kiume??
Kwa sababu mara nyingi naona uchungu wa mtoto especially akiwa mdogo unahusishwa moja kwa moja na mama yake.....(ndo maana sometimes tunasikia kesi za wamama kuumia wanaponyang'wanywa watoto wao)
Ninajiuliza swali...........je ni weli kuwa wababa hawana uchungu na watoto wao"
Wababa ninawezapata hisia zenu juu ya hili???
(Teamo please.........spare me)
Kwa mara ya kwanza ninarusha threads mbili kwa mpigo...............ninawaomba mnisamehe nimechanganyikiwa
Nauliza tu nini maana ya Usemi wa Uchungu wa mwana aujuaye Mzazi..............mzazi huyu ni yupi wa kike au kiume??
Kwa sababu mara nyingi naona uchungu wa mtoto especially akiwa mdogo unahusishwa moja kwa moja na mama yake.....(ndo maana sometimes tunasikia kesi za wamama kuumia wanaponyang'wanywa watoto wao)
Ninajiuliza swali...........je ni weli kuwa wababa hawana uchungu na watoto wao"
Wababa ninawezapata hisia zenu juu ya hili???
(Teamo please.........spare me)