sakapal
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 1,804
- 1,424
Jamani naombeni msaada nimeboeka hadi basi na hasira juu hv hawa wenyehii supermarket wanataka watu waende pale kuuza sura tuu? Kwasababu mimi sijawaelewa kabisa maana yao ya kutangaza kwenye redio kwamba wana vunja bei hasa sukari kwa shilingi 1,700 halafu kufika pale sukari ya kilombero kilo shilingi 2,700 na nyingine imewekwa kwenye mfuko wa kilo 5 ambazo huna mzani wa kuhakiki kama zimetimia kg 5 wanauza shilingi 12,500 sasa wanautani au kibonde anavotangaza kwenye redio ndo anadanganya? Kweli nimeboeka ukizingatia sukari inatumika sana na nikipata kilo 5 kwa bei ya 1;700 inakuwa imenisevu kwa mwezi mzima je wanajamii mmegundua hili? Naombeni msaada ktk hili pls