CPU
JF-Expert Member
- Jan 13, 2011
- 3,863
- 686
18 + 12 = 30 huo ndo umri wa kuowa na kuolewa. Baba wa taifa aliowa akiwa na miaka 31
Mchungaji, kwa hiyo binti achumbiwe under 18???
18 + 12 = 30 huo ndo umri wa kuowa na kuolewa. Baba wa taifa aliowa akiwa na miaka 31
Mchungaji, kwa hiyo binti achumbiwe under 18???
Akiwa na miaka 18 na kuendelea!
aaaaaaaaa Dena, dd mmoja shost yangu kavishwa pete mwaka wa 4 huu eti alikuwa anamsubiri mchumba wake arudi, mwenzie kuja kaja na mke mzungu na mtoto yy kabakia na pete kidoleni, baada ya hapo kenda jirusha bahari ya hindi hivi punde natoka naenda kumcheki kalazwa tumaini hosp. je ni haki alichofanyiwa?????????
aaaaaaaaa Dena, dd mmoja shost yangu kavishwa pete mwaka wa 4 huu eti alikuwa anamsubiri mchumba wake arudi, mwenzie kuja kaja na mke mzungu na mtoto yy kabakia na pete kidoleni, baada ya hapo kenda jirusha bahari ya hindi hivi punde natoka naenda kumcheki kalazwa tumaini hosp. je ni haki alichofanyiwa?????????
mpe pole huyo mdada, ila mwambie maisha hayaishi baada ya kutoswa na mchumba. nina rafiki yangu keshavua pete 3 za uchumba, na sasa amevalishwa ya 4, lakini kila akitoswa tunambembeleza wiki kadhaa anapona.
Jamani am very sory kwa huyo rafiki yako jaman ukweli wanaume sasa ivi ni wasanii kweli jaman tunatakiwa kuwa makin mi mwenyewe yamenikuta but cjajirusha wala nini nimechukulia poaaaa ila kupenda tena ndo itakuwa tabu.............I HATE MEN
Miaka 12 inatosha kujuana vyema!