Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar


Kanisa lilikuwa linahofu kuwa mali walizokuwanazo Waasia Waislam zikitiwa katika harakati za Waislam ambao walikuwa na nguvu kubwa katika uwanja wa siasa zitaathiri maslahi ya Ukristo katika Afrika ya Mashariki. Kwa ajili hii Kanisa likatanganza kuwa Uislam ni adui wake na likaanza mikakati ya hujma dhidi ya Uislam ili kuudhoofisha.

Ni hawa akina Manji wenye kununua viwanja vya bakwata na kuviuza? Mbona kwa sasa ndiyo wana ukwasi zaidi lakini hatuoni wakiwekeza kwenye shughuli za maendeleo ya waislam? ah nimesahau...mfumo kristo unawazuia...
 
cover.jpg



saba.jpg
 
Nimeanza kufuatilia nyuzi zote za Ndugu Mohamed Said kwa kweli mkuu unajitahidi kutoa maalumati tena kwa ushahidi wa kila aina lakini vichwa ngumu wataendelea kua wagumu tu! Hawa jamaa wamezoeya kupewa maelezo kama ya akina Philip Mulugo (nyeupe uiite nyeusi na nyeusi uiite nyeupe)0ndio hua wanafahamu! kwa hiyo hapa usitegemee kupata wanafunzi bora labda uwavujishie maswali!
 
Ndugu yangu kuwa makini katika maandishi yako.

MoU wako wataalamu wa somo hilo mimi huwa silizungumzii.

Mimi eneo langu ni historia ya uhuru wa Tanganyika na yaliyotokea.


Mohamedi said
pitia kwenye redi hapo kwenye posti yako

ukiwa muongo pia usisahau, soma maandishi yako hapo juu, kisha kanusha si wewe uliongelea, MOU, haki ya matibabu hospitali za kanisa kupewa kodi na serikali, na elimu ambavyo collectively nimeviita dhulma dhid ya waislam. wanaokusapoti waone jinsi uzee wako wa uwongo uwongo ulivyo na uchochezi. hapa unasema hivi, kule unakanusha post #914 ya tarehe 4 mwezi huu kwenye uzi wa maasikofu.
Umeingiza mambo mengi sana.
Kuna Zanzibar, elimu ya Waislam, matokeo mabaya ya shule za Kiislam, kuchinja.

Itakuwa tabu kufanya mjadala uliokuwa hauna mwelekeo ulionyooka.

Lakini kwa mukhtasari ukitaka historia ya Zanzibar na maendeleo yake itabidi tuanza kwa kuvamiwa
kwa Zanzibar na jeshi mamluki la Wamakonde kutoka Kipumbwi wakifadhiliwa na utawala wa Nyerere.

Kuanzia hapa tutaingia katika tatizo la Muungano na kwa nini leo Wazanzibari wanadai nchi yao.

Kuhusu elimu ya Waislam itatubidi tuje katika njama za Nyerere kuhujumu chuo kikuu cha Kiislam
kilichokuwa kijengwe Dar es Salaam mwaka 1968 na jinsi alivyotumia uongo na ghilba kuvunja EAMWS
na kuunda taasisi kibaraka BAKWATA.

Vipi shule za Waislam hazifanyi vyema inabidi tuje katika hujma ya NECTA kwa wanafunzi wa Kiislam na
tuupitie waraka wa marehemu Prof. Malima kuhusu yale aliyoyakuta Wizara ya Elimu mwaka 1987.

Wizara ya Elimu na NECTA vimegeuzwa vigango vya kanisa.

Kubwa zaidi ni kuwa Waislam kwa muda mrefu hatukuruhusiwa kujioganaizi nje ya BAKWATA kibaraka
wa serikali.

Makanisa mnaendelea kwa kupendelewa na serikali iliyojaza watendaji Wakristo sisi tungepewa hayo
mabilioni ya MoU kati ya Makanisa na Serikali tusingekuwa kama hivi.

Yapo mengi sasa chagua tuanze na lipi katika hayo hapu juu niliyokugusia.

Wajerumani waliwaweka Wayahudi katika ghetto kisha wakawa wanawalaumu kwa uchafu.
Kwenye ghetto hakuna maji wala misala sasa watu wafanyeje?

Mnatusimanga kwa hospitali mnazoendesha kwa hela ya kodi ya serikali kodi inayolipwa na raia
wote.


Tunabanwa na mfumokristo kisha mnatulaumu hatuna maendeleo.
 
Kuhusu kikwete, mchakato wa MOU ya waislamu mmefikia wapi bokoharamu maana kikwete aliwakaribisha mpeleke yenu.

nyie wenyewe mumejichanganya si mumesema zile fedha mnapewa namakanisa ya ujerumani sasa waislamu nao wakitaka kujiunga na OIC mbona povu linawatoka wakati mkataba wenu na makanisa ya Ujerumani ulikuwa chini ya serikali na mamvii ndio alisaini kuna muislamuyoyotealiulizwa kuhusu wanakubali au wanakataa na safari hii kwenye katiba mpya mtafurahiiii
 
Jee hili nalo limo ndani ya kitabu cha Mohamed Said! Kiasi tushughudie migomo isiyo na kichwa kama wahusika ni ......

Umeuliza vema kama hujuwi umalenga wa Mohamedi ni wa kizushi kaka umekaa pabaya. MOU ameingolea, kodi ya watanzania ameiongelea kwa makanisa lakini kwa makusudi anakanusha na kuwapotosha wapambe wake pata maelezo hapo chin

post ya tare 4 #914

Umeingiza mambo mengi sana.
Kuna Zanzibar, elimu ya Waislam, matokeo mabaya ya shule za Kiislam, kuchinja.

Itakuwa tabu kufanya mjadala uliokuwa hauna mwelekeo ulionyooka.

Lakini kwa mukhtasari ukitaka historia ya Zanzibar na maendeleo yake itabidi tuanza kwa kuvamiwa
kwa Zanzibar na jeshi mamluki la Wamakonde kutoka Kipumbwi wakifadhiliwa na utawala wa Nyerere.

Kuanzia hapa tutaingia katika tatizo la Muungano na kwa nini leo Wazanzibari wanadai nchi yao.

Kuhusu elimu ya Waislam itatubidi tuje katika njama za Nyerere kuhujumu chuo kikuu cha Kiislam
kilichokuwa kijengwe Dar es Salaam mwaka 1968 na jinsi alivyotumia uongo na ghilba kuvunja EAMWS
na kuunda taasisi kibaraka BAKWATA.

Vipi shule za Waislam hazifanyi vyema inabidi tuje katika hujma ya NECTA kwa wanafunzi wa Kiislam na
tuupitie waraka wa marehemu Prof. Malima kuhusu yale aliyoyakuta Wizara ya Elimu mwaka 1987.

Wizara ya Elimu na NECTA vimegeuzwa vigango vya kanisa.

Kubwa zaidi ni kuwa Waislam kwa muda mrefu hatukuruhusiwa kujioganaizi nje ya BAKWATA kibaraka
wa serikali.

Makanisa mnaendelea kwa kupendelewa na serikali iliyojaza watendaji Wakristo sisi tungepewa hayo
mabilioni ya MoU kati ya Makanisa na Serikali tusingekuwa kama hivi.


Yapo mengi sasa chagua tuanze na lipi katika hayo hapu juu niliyokugusia.

Wajerumani waliwaweka Wayahudi katika ghetto kisha wakawa wanawalaumu kwa uchafu.
Kwenye ghetto hakuna maji wala misala sasa watu wafanyeje?

Mnatusimanga kwa hospitali mnazoendesha kwa hela ya kodi ya serikali kodi inayolipwa na raia
wote.


Tunabanwa na mfumokristo kisha mnatulaumu hatuna maendeleo.
 
nyie wenyewe mumejichanganya si mumesema zile fedha mnapewa namakanisa ya ujerumani sasa waislamu nao wakitaka kujiunga na OIC mbona povu linawatoka wakati mkataba wenu na makanisa ya Ujerumani ulikuwa chini ya serikali na mamvii ndio alisaini kuna muislamuyoyotealiulizwa kuhusu wanakubali au wanakataa na safari hii kwenye katiba mpya mtafurahiiii

Michango na misaada yenye masharti hatuiwezi, kwamba ili usaidiwe lazima utimize........

Mmeitwa ikulu na alhaji kikwete mmepeleke je kaka mmepeleka mou yenu ikakataliwa? msaada wowote wenye amsharti ya rejareja ni msaada mfu.

Kulalama bila kutumia fursa ni dhambi pia, mungu akupe nini njoon ikulu wapi? anaondoka huyo mtabakia kulilia kaburi la nyerere na hekaya za mzee mohamed malenga mbabaishaji mpaka anakana kauli zake kwa maandishi yake mwenyewe,siku zikisonga na kufanya mitafaruku kwa watanzania wote bila sababu.

Kwanini tuishi kwa majungu kaka na kuzuliana uwongo, huko mitaani watu wameoleana na wanaishi vema ila tatizo ni elimu za mashaka katika historia.
 
IMEKUWAJE UMEHAMA KWENYE ILE POST YA AWALI UMEFUNGUA NYINGINE KWA SOMO HILI HILI?
Wanaukumbi rudini kwenye post ile ya ''Maaskofu...'' nimeweka postings huenda mkafaidika Insha Allah.

Nimekupa majibu ya maswali yako kwenye ile post ya mwanzoni.
Hata hivyo nakuwekea majibu yangu hapa chini:

1) Nimeathirika kwa kuona wazee wangu hawamo katika historia kwa hiyo hawatakuwamo katika kumbukumbu kama mashujaa wazalendo waliopigana kuung'oa ukoloni Tanganyika.

2) (Hilo la taifa sina haki ya kulijibu watajibu wenyewe wenye mamlaka mimi nitawajibia Waislam). Kizazi kijacho hakitajua ushujaa wa Waislam katika kupinga dhulma kama moja ya mafunzo ya Allah. Pili hawatajua nguvu iliyokuwapo katika Uislam Tanganyika katika karne ya 20 nguvu iliyopelekea kupigana na Wajerumani katika vita vya Maji Maji 1905.

3) Babu yangu Salum Abdallah alikuwa katika African Association na TANU na aliongoza mgomo (general strike) ya 1947 Tabora na 1953 yeye na wenzake walifanya mkutano wa mwisho na wa siri wa TAA kutayarisha mjumbe Germano Pacha kuhudhuria kuasisiwa kwa TANU Dar es Salaam 7 Julai 1954. Juu ya haya alikuwa mmoja wa wafadhili wa chama. 1955 aliasisi Tanganyika Railway African Union (TRAU) akiwa mwenyekiti wa kwanza. 1960 aliongoza mgomo wa Railway uliodumu siku 82. Huu hadi leo umebaki mgomo wa kihistoria hawajaweza wafanyakazi kugoma kwa miezi 3.

4) Nilitegemea Nyerere angeliwaadhimisha katika uhai wake angalau kwa kuwataja au kuwapa heshima zao stahiki lakini akawa anakebehi juhudi za TAA na kufikia kusema kuwa hakumbuki Abdulwahid Sykes alikuwa na nafasi gani katika chama yeye alipoingia TAA Dar es Salaam mwaka 1953. (Nikawa na taarifa nyingine kuwa hakuwa anapenda Waislam wahisishwe na juhudi za kuikomba Tangnayika au yeye binafsi kuhusishwa na Abdu Sykes, Kiyate Mshumi, Sheikh Hassan bin Amir, Sheikh Suleiman Takadir na wengine wengi.) Kabla ya kustaafu alitoa medali 3, 979 kuwaadhimisha Watanzania walioifanyia makubwa nchi yetu. Hata mmoja katika wale waliopigania uhuru wa Tanganyika alikuwa katika ile orodha.

5) (Sijalielewa swali labda unifafanulie).

6) Najua mengi kiasi changu katika historia ya Uislam duniani lakini kitabu changu ni kuhusu Waislam wa Tanganyika.

7) Nilichoandika ni historia ya uhuru wa Tanganyika na mchango wa Waislam katika vita ile. Jina la kitabu linajieleza.

8) Huwezi kulazimisha watu sina uwezo huo nilichoandika ni historia ya wazee wangu wakati wa kupigania uhuru. Halikadhalika sina uwezo wa kulazimisha vyuo vinialike. Naalikwa kwa kuwa wameona watanufaika na elimu yangu katika somo hilo.

9) Nawatambua wote 17 na najua hadi historia zao. Kuna wengine walistahili wawepo katika ile orodha ya waasisi wa TANU lakini hakuwapo kwa kuwa mkutano usingeweza kuhudhuriwa na kila mtu. Mfano Sheikh Hassan bin Amir, Dk. Michael Lugazia, Ali Migeyo, Hamza Mwapachu na wengine wengi.

Kwanza nikupongeze mkuu, na nikupe pole kwani mjadala wewe unachukua karibu wiki ya tatu sasa,

Nimeamua kuuleta hapa peupe kwakuwa kule mjadala huu ulijificha chini ya Tamko la maaskofu, lakini hapa tunapata uwanja mpana wakujadiliana kwa hoja kile ukiitacho historia upande wa pili na kile nikiitacho mimi kuwa ni uchochezi na uhaini.

Nikirudi kwenye majibu ya maswali yangu, Jibu lako la kwanza tu linakutoa kwenye maana ya ulichoandika!

Mfano: Unasema,

"Nimeathirika kwa kuona wazee wangu hawamo katika historia kwa hiyo hawatakuwamo katika kumbukumbu kama mashujaa wazalendo waliopigana kuung'oa ukoloni Tanganyika".

Hii inakupa nguvu ya kusema ni historia ya uhuru upande wapili?

Unataka kukiambia kizazi hiki kuwa kila aliyesikia au kuhisi mzazi wake alishiriki katika uhuru wa nchi hii na hayumo kwenye historia aje na kitabu na kukiita historia mpya ya UHURU na kubeza vingine kikiwemo chako?

Katika majibu yako unajichanganya sana, mara useme ni historia ya uhuru upande wa pili, mara histori ya waislamu na sasa unasema ni historia ya wazee wako, Je sisi tusimamie wapi?

Weka sawa kwenye jibu la kwanza tu hapo ili twende mbele mkuu!
 
Mr. President hata wewe kumbe ni mshabiki wa chuki na uchochezi wa kidini!?
Kumbe masalia walikuwa wanapata maelekezo toka kwako ili kukichafua chama kwa propaganda za ubaguzi wa kidini. Nimeshukuru kuendelea kujianika...

Mwita Maranya bana, unatamaani niwe president? Nitalifikiria ombi lako kwa sasa tunamwambia Yericko aache kutugawa kwa misingi ya kidini yeye ni mtu muhimu sana kwa CHADEMA.
 
hana jibu atakuzungusha tu bila kupata kitu cha maana kutoka kwake..mimi nimesoma vitabu vyake na nimefuatilia mada zake hapa JF na nachukulia vitabu vyake kama riwaya za alfu lela ulela

Huyu Mohamed Said is a big cry baby sababu anaona yeye kama mtoto wa mpigania Uhuru amesahuliwa. Hajaula kama watoto wa Mzee Hamza Mwapachu, kina Juma Mwapachu na brother wake. Anaona mbona wenzake walipewa ubalozi na uwaziri yeye akaachwa.
Nyerere angekuwa mdini kina Mwapachu wasingeonja utawala.

This old man Mohamed Said should just f... the h... up.

Kwanza ni li nyamwezi.
Mtu hujipi asili based on dini but your blood.


Cases of confused identity!
 
Yeriko, achana na watu wenye ubishi wa kijiweni. hawa wanajua kukariri na kumeza hivyo ilivyo. Unapoleta hoja zinazohitaji fikra na uchambuzi, utawachosha!

Nimezungumza kama mtanzania yeyote yule anaekereka na uchochezi wa Mohamed Said,

Sijabeba undugu damu katika hili.
 
Kwanza nikupongeze mkuu, na nikupe pole kwani mjadala wewe unachukua karibu wiki ya tatu sasa,

Nimeamua kuuleta hapa peupe kwakuwa kule mjadala huu ulijificha chini ya Tamko la maaskofu, lakini hapa tunapata uwanja mpana wakujadiliana kwa hoja kile ukiitacho historia upande wa pili na kile nikiitacho mimi kuwa ni uchochezi na uhaini.

Nikirudi kwenye majibu ya maswali yangu, Jibu lako la kwanza tu linakutoa kwenye maana ya ulichoandika!

Mfano: Unasema,

"Nimeathirika kwa kuona wazee wangu hawamo katika historia kwa hiyo hawatakuwamo katika kumbukumbu kama mashujaa wazalendo waliopigana kuung'oa ukoloni Tanganyika".

Hii inakupa nguvu ya kusema ni historia ya uhuru upande wapili?

Unataka kukiambia kizazi hiki kuwa kila aliyesikia au kuhisi mzazi wake alishiriki katika uhuru wa nchi hii na hayumo kwenye historia aje na kitabu na kukiita historia mpya ya UHURU na kubeza vingine kikiwemo chako?

Katika majibu yako unajichanganya sana, mara useme ni historia ya uhuru upande wa pili, mara histori ya waislamu na sasa unasema ni historia ya wazee wako, Je sisi tusimamie wapi?

Weka sawa kwenye jibu la kwanza tu hapo ili twende mbele mkuu!

Kaka Yeriko unakazi kubwa, ukimtoa malenga kwenye reference za magazeti na majarida yake unampa wakati mgum sana yeye hupenda kubeba lijalada na kupest bila kuzingatia maudhui anabwaga tu. komaa na malenga mstari kwa mstari kituo kwa kituo mpaka hapo atakapotambua watanzania wanahitaji upendo, amani, mshikamano na zaidi umoja. mambo ya kuchochomea mgawanyiko kwa kuisingizia dini anautoa wapi mohamedi. Kazi yake kuhukumu sijui amekuwa mungu huyu malenga! siku ya kiama si mungu ndo atahukumu.
 
Amesahauliwa na nani na angetaka jina liandikwe wapi??
Amesahauliwa kwa kuwa ni muislamu au kwa kuwa ni mzanzibar??
Amesahauliwa kwa kuwa na mchango wa kiasi gani??

Huyu Mohammed saidi, anatafuta fidia au anataka kuhalalisha nini??
Baada ya hiki kilio chake hapa JF atakuwa amefanikiwa kivipi malengo yake (kutukera au Kutufahamisha kuwa kuna baba yake kasahauliwa kwenye list??)???????


Huyu Mohamed Said is a big cry baby sababu anaona yeye kama mtoto wa mpigania Uhuru amesahuliwa. Hajaula kama watoto wa Mzee Hamza Mwapachu, kina Juma Mwapachu na brother wake. Anaona mbona wenzake walipewa ubalozi na uwaziri yeye akaachwa.
Nyerere angekuwa mdini kina Mwapachu wasingeonja utawala.

This old man Mohamed Said should just f... the h... up.

Kwanza ni li nyamwezi.
Mtu hujipi asili based on dini but your blood.


Cases of confused identity!
 
hana jibu atakuzungusha tu bila kupata kitu cha maana kutoka kwake..mimi nimesoma vitabu vyake na nimefuatilia mada zake hapa JF na nachukulia vitabu vyake kama riwaya za alfu lela ulela

Mdomo haumkatai bwana wake.
Ndugu yangu unaweza ukauamuru mdomo wako kuropoka chochote kile na utakutii.

Hebu soma haya hapa chini kisha fananisha na Alfu Lela Ulela:

''...kabla hajafariki dunia Abdulwahid alifanya mazungumzo na Nyerere. Mazungumzo haya baina ya Abdulwahid na Nyerere yalifanyika katika miezi ya mwisho ya mwaka 1968 wakati mashekhe na Waislam mashuhuri wanasombwa na kutupwa gerezani.

Abdulwahid na Nyerere walikuwa wametoka mbali. Watu hawa walikuwa marafiki wa zamani. Huenda kama isingelikuwa kwa msaada wa Abdulwahid historia ya TANU na ya Nyerere mwenyewe zingechukua mkondo tofauti.

Mazungumzo haya yalikuwa muhimu kwa Abdulwahid kwa sababu kwa kiasi fulani alihisi anahusika na yale yaliyokuwa yakiwasibu Waislam, wale kutoka Dar es Salaam. Taarifa za Waislam kukamatwa usiku na kuwekwa kizuizini zilikuwa zikimfikia karibu kila siku.

Abdulwahid hakuweza kujifanya kuwa haathiriki na matokeo yale.

Baadhi ya watu ambao Nyerere alikuwa anawatupa gerezani walikuwa watu ambao yeye Abdulwahid binafsi walimuunga mkono wakati anaanza siasa na watu ambao aliwashawishi wamuunge mkono Nyerere wakati wa kuunda TANU.
..''

Bado akili yako inakueleza kuwa unasoma riwaya na si matokeo ya kweli?
Hivi ndivyo wazee wangu walivyoagana na Nyerere.

Huu ulikuwa mwaka wa 1968.
 
Mwandishi wa uzi huu udini na kutojua historia ya zanzibar ndio ulokupelekea kuandika pumba zako soma kitabu kinachoitwa uhasidi wa marekani kwa mapinduzi ya zanzibar. Kilichotungwa na giorgio galinoshadjivayansi na abdulrahman babu ndio utajua ukweli wote otherwise u havo no right to question any thng about zanzibar

Mbona unataka kulazimisha watu wafuate unayoyataka wewe? Mohamed said anashindwa nini kujibu hoja na maswali hayo hapo juu ?
 
wimbi la mbele, kwa mujibu wa nyaraka uliyoweka hapa ni kwamba MOU ili-sainiwa mwaka 1992. Nikuulize maswali rahisi kabisa:

1. Nani alikuwa rais wa Jamhuri ya Tanzania mwaka 1992 wakati hii document inasainiwa?

2. Huyo rais (wa wakati huo -1992) alikuwa mkristo au mwislam? Kama ni mwislam (?) basi atakuwa amewadhalumu wenzie?



Ila nakuonea huruma sana bwana Yeriko, mwenzako Mohammed akiongea anawakilisha vielelezo, je wewe una nini za ku counter argue?


Nyerere na Mkapa wote ni marais ambao walishakiri kuwa kweli hakuna uwiano sawa na waislam hawakupata their equal share sasa wewe una ushahidi gani wa ku counter argue?

Pia kabla hatujaenda mbali unajibuje kuhusuhili:




saba.jpg
 

Similar Discussions

103 Reactions
Reply
Back
Top Bottom