Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 20,849
- 30,189
Jamani mnakasha kitu kizuri.
Leo Moddy kaamka kwa namna tofauti kabisa.
Kwanza amekubali kuwa Nyerere alijulikana TAA hata kabla ya kuonana na Abdul.
Sasa anakubali kuwa Abdul ni Mzalendo. Yaani kamweka Abdul katika nafasi yake halisi na si ile ya kumsingizia.
Thank you Mo. This is a big milestone.
Nguruvi,
Take me seriously m not bluffing.
I want you to teach me semantics.
Wewe bingwa.