Imepotea anganiNakusalute UDA.Message sent and delivered...
sana sana mkuu.umeshau umaskin ujinga...wanachochea kuficha mahela uswiz, pia wamechochea adi tanesco wakanunua box la misumari paund elfu 54...mbaya zaidi hawa chadema wamechochea taifa kuingia hasara kila mwaka kwa kupoteza billion 70, kuwalpa wa2mish hewa
mkuu umenikosha sana.Teh teh yani hawa CHADEMA wamemchochea RAIS ateue MAJAJI VIHIYO, pia kama haitoshi wanamchochea apende kuzurura nje ya nchi kupiga picha na kina 50 CENT.
mlichochea kina mgaya yakapita
mkachochea wanafunzi wa vyuo vikuu yakapita
mkachochea wamachinga wa mbeya mkayamaliza
mmechochea wakulima wa korosho tukawapuuza,bado hamkuchoka mkaendelea kuchochea madaktari na walimu.
Sasa mmefika kubaya kwa kuchochea waislamu wagomee sensa.
Wasira alishawaonya bado hamusikii tu!
Naona sasa hivi mmejikita katika kuwachochea wananchi wa vijijini eti mwaita M4C...hebu tuacheni tupumue kidogo jamani ah!
'Ni kweli uchochezi wa CHADEMA umeifikisha nchi pabaya lakini na huyo anayekoka huo moto anyooshewe kidole pia sio anayeuchochea peke yake!