"Uchekibobu" unawaponza madaktari nchini Tanzania.

Kwa wasiomjua Dr Imani Kondo au ZeMarcopolo kama anavyojiita wanaweza wasielewe kwa nini anasema hayo anayosema au anayohubiri kwenye mitando ya kijamii au kwa nini anawachukia hivyo madaktari wa Tanzania na anawapinga sana kwa gharama zozote katika mgogoro wao na serikali. Kwa ufupi huyu ni Dr mwenzao but yeye alisomea nchini Czech na alimaliza A-level Ilboru (nilikua nyuma yake ki'madarasa)..aliporudi nchini kwa ufupi ni kwamba "udaktari ulimshinda" kwa sababu almost kila mgonjwa aliyekua akipita mikononi mwake alikua aponi au alionja umauti (nakumbuka watu wa Lugalo na wafanyakazi wenzake walikua wanamwita Dr Chinjachinja), kutokana na malalamiko kuwa mengi Hospitali ya Lugalo ilimuita na kumweleza kuhusu hayo malalamiko na shutuma dhidi yake' lakini alijitetea kuwa mazingira aliyosomea,Czech na hospitali za kule na hata magonjwa ya kule ni tofauti sana na ya huku Tz, so he need to learn zaidi kwa hiyo wamsamehe na akaahidi kuwa atafanya juhudi zaidi kujifunza toka kwa madaktari wenzake, Hospitali ya Lugalo iliamua kumweka chini ya uangalizi wa madaktari wenzie (ambao wengi walikua wamesomea hapa nchini, MUCHS) na hakuruhusiwa kugusa mgonjwa isipokuwa chini ya supervision ya wenzake, ambao wengine walikua schoolmates Ilboru na Mzumbe. Wanaomjua na waliokua nae karibu wanasema jambo hilo lilimsononesha sana ukizingatia kuwa secondary alikua "kichwa sana" na wanadai kuwa alikua anapata stress sana kuona wenzake waliosomea hapa nchini,hususani MUCHS walivokuwa competent huku yeye akionekana zuzu na incompetent. Uhusiano wake na madaktari wenzie ulikua ukidorora siku hadi siku, na alikua akisema kuwa madaktari wa bongo wanajifanya wajuaji na wanajidai sana, wanamdharau na kudharau madaktari wenzao waliosomea nje, na pengine wanamuonea wivu kwa kuwa kasomea nje..akawa anawaambia kuwa yeye ana akili sana na alikua akiwaburuza tokea Mzumbe na Ilboru kwa hiyo atawashinda/atawaburuza hadi kwenye maisha, akawa anawambia maneno ya kuwakatisha tamaa kuwa watakufa maskini na dharau zao na udaktari wao wa bongo hata kama wanajifanya wanajua sana kutibu...yeye akasema anaenda zake kupiga deal za NGOs na anaingia kwenye siasa...TOKEA SIKU HIZO JAMAA AKAAMUA KUTOKUJIKITA ZAIDI KATIKA KUTIBU, AKAKIMBIA FANI YAKE NA AKATANGAZA VITA NA MADAKTARI WALIOSOMEA NCHINI NA WANAOMUONA YEYE NI "INCOMPETENT Dr" au "Dr CHINJACHINJA" KAMA WAFANYAKAZI WA LUGALO WALIVOKUA WANAMWITA...nasikia alianzisha NGO inaitwa COMMUNITY ORGANIZATION ACTION na akawa anajaribu kuwa karibu (au kujipendekeza kwa lugha sahihi) na viongozi wa CCM na wa kiserikali, na amekua mara nyingi sana akionekana na Nape na viongozi wa UVCCM akiwamo Ridhiwani Kikwete, na inasemekana mwaka 2010 alijaribu kutupa karata yake kwa kugombea ubunge huko morogoro vijijini lakini walimtosa.... HUYO NDIO DR IMANI H. KONDO a.k.a ZeMarcopolo! au Dr CHINJACHINJA WA LUGALO.. mimi namshauri tu akae chini na wenzake aache kinyongo na visasi.... aelewe kuwa akili za darasani za darasani tu!sio akili za maisha! unaweza ukafaulu kujibu mitihani lakini ukashindwa kumudu kazi yako vyema, hayo ni mambo ya kawaida, asiwe na stress.. na pia asitafute short cut ya kutoka kimaisha.
 
kumbe wewe ndiyo dokta chinja chinja, kujidaigi kote unajenga hoja kumbe mweupe na chogi mbaya kabisa! ndiyo maana kule facebook unakujaga na hoja za kuwagawa madaktari na kujidai kuplay a hero kumbe mtu mwenyewe mweupe kabisa.

hivi ulipokuwa Arusha ile story kuwa ulikuwa unabashiwa ni kweli kumbe? pole sana jipange upya ,usichezee madokta zile ni akili kubwa peleka masaburi yako ukafie mbele ya safari madokta wenzio wamekuona mnafiki na msaliti mkubwa na unaubinafsi na uroho wa kisiasa.
 
Gazeti la Mtanzania leo hii limetoa habari hii:

Dkt. Chitage azungumzia Dkt. Namala kushitakiwa; Interns kufutiwa leseni; Hali ya Dkt. Ulimboka

12/07/2012


Siku moja baada ya Rais wa MAT, Dk. Namala Mkopi kufikishwa mahakamani kwa madai ya kuchochea mgomo, Katibu wa Jumuiya ya Madaktari nchini, Dkt. Edwin Chitage amesema hali hiyo imewashitua na lolote linaweza kutokea.

Akizungumza na waandishi wa habari jana, Dkt. Chitage alisema hali hiyo imeongeza hasira na kushusha morali wa Madaktari, "Kweli hiki kitendo cha Dkt. Mkopi kufikishwa Mahakamani kimetushtua na ukweli kimesababisha kuwepo na fukuto la chini chini. Madaktari wamekatishwa tamaa… lakini kitendo hiki pia kimeshusha morali ya wale ambao walirudi kazini…kwa hiyo wapo Madaktari ambao wapo kazini, kwa maana ya eneo la kazi lakini wanachokifanya hiyo wanajua wao,"alisema Chitage.

Akizungumzia suala la madaktari wa walioko katika mafunzo (Interns) 390 kufutiwa leseni alisema, kitendo hicho kilitegemewa na hakikuwashitua kwa sababu ni kitu ambacho tayari kilipangwa.

"Kwetu sisi tulitegemea jambo hilo kwa hiyo hatukushtuka sana…kwetu hiki ni kitu kidogo sana, kwa sasa viongozi wa Interns wanafanya kikao na wanasheria wao wanaangalia jinsi uamuzi huo ulivyotolewa na baadaye tutakutana nao kwa ajili ya kuangalia ni namna gani tutalifanyia katika suala hili,"alisema Dkt. Chitage.

Akizungumzia hali ya Dkt.Stephen Ulimboka alisema kwa sasa hali yake inaendelea vizuri na ameanza kutembea na kufanya mazoezi vizuri, "Hivi sasa hali yake imeanza kuimarika. Anaweza kutembea na anafanya mazoezi yake vizuri. Kinachoendelea kumkalisha hospitali ni uangalizi wa karibu wa figo…lakini ingekua si figo angekuwa amesharudi nchini," alisema.







Source: http://www.wavuti.co

My take: Hawa madaktari "uchekibobu" ndio unaowaponza. Wanaongea vitu kama viajna wa kijiweni vile!
1. Chitage ananukuliwa akisema hali ya Rais wa MAT kufikishwa mahakamani imewashtua! Hivi huyu Chitage hajui kuwa Rais wa MAT alipewa amri na mahakama? Ukipewa amri na mahakama una options mbili, aidha kuitekeleza au kuiambia mahakama kuwa hujaridhika na amri hiyo. Huyo Rais wa MAT alifanya chochote kati ya hivyo? Yeye amepewa amri ya mahakama akaifungia sandukuni na kuendelea na shughuli zake za kichekibobu. Sasa kinachowashtua ni nini?

2. Chitage ananukuliwa akisema swala la interns kufutiwa usajiri halijawashtua kwa sababu walilitegemea! Wakati huohuo anasema viongozi wa interns wanajadiliana na mwanasheria na baada ya majadiliano hayo ndipo Chitage na wenzake waangalie nini cha kufanya. Sasa Chitage kama walishalitegemea hilo, kwanini majadiliano na mwanasheria yanafanyika mpaka baada ya leseni kufutwa? Chitage haoni kuwa anawachelewesha vijana wa internship katika safari yao ya kupata usajiri wa kudumu kwa sababu yeye ana mipango mingine ya maisha! Lakini najiuliza hawa kina Chitage kwanini swala la interns wanawaachia viongozi wa interns? kwa nini wasilisimamie wao kama viongozi wa madaktari? Huu uchekibobu utawaponza vijana wasio na hatia.

3. Chitage ananukuliwa akisema madaktari wanafanya kazi lakini hawana moyo wa kufanya hiyo kazi. Hivi huyu Chitage ni lini alikuja kuuambia umma kuwa mgomo umeisha? Kwa lugha nyingine ni kwamba mgomo ulioitishwa na kina Chitage umekataliwa na madaktari na Chitage na wenzake wanaona haya kusema ukweli kuwa mpango wao wa kuivuruga nchi umekwama. Labda tumuulize Chitage amejuaje kuwa madaktari hawana ari ya kuwatibu watanzania wenzao. Yeye Chitage kama kagoma, anafuata nini maeneo ya kazi?

Nawashauri viongozi wa hospitali kuhakikisha machekibobu kama kina Chitage hawaruhusiwi kuingia katika sehemu za kazi. Wao waendelee kugoma na wawaache madaktari wanaotibia watanzania wenzao waendelee na shughuli zao. Wameshawaharibia vijana programs zao za internship sasa wanataka kuharibu na mengine. Hawa wakiachwa wanaweza kuwa radhi kuharibu hata hivyo vifaa vichache chakavu vilivyopo.

Halafu nyie watu mnaojidai mpo kwa system mna doublestandards sana! Si nimemsikia naibu spika Ndugai akimweleza Tundu Lissu asikoti magazet (kwa madai yake ni udaku), sasa weye mbona unafanya kitu ambacho bosi wako anakataa ( au hiyo kanuni haiaaply kwenu?)
 
Wewe Imani Kondo mbona unakua sio muungwana kiasi hicho.ukienda kwenye page ya MAT facebook unajidai unataka kusaidia interns, kumbe mnafiki tu unataka kutumia huu mgogoro kwa manufaa yako ya kisiasa.Unanisikitisha sana sana.Your too ambitious, uko hata tayari kuuza utu na proffession yako.Nway, u have ur reasons.But i know wengine wanaokufahamu wakisikia huku ulikofikia, watasikitika saana.ALL THE BEST IN UR AMBITIONS

 
Gazeti la Mtanzania leo hii limetoa habari hii:

Dkt. Chitage azungumzia Dkt. Namala kushitakiwa; Interns kufutiwa leseni; Hali ya Dkt. Ulimboka

12/07/2012


Siku moja baada ya Rais wa MAT, Dk. Namala Mkopi kufikishwa mahakamani kwa madai ya kuchochea mgomo, Katibu wa Jumuiya ya Madaktari nchini, Dkt. Edwin Chitage amesema hali hiyo imewashitua na lolote linaweza kutokea.

Akizungumza na waandishi wa habari jana, Dkt. Chitage alisema hali hiyo imeongeza hasira na kushusha morali wa Madaktari, “Kweli hiki kitendo cha Dkt. Mkopi kufikishwa Mahakamani kimetushtua na ukweli kimesababisha kuwepo na fukuto la chini chini. Madaktari wamekatishwa tamaa… lakini kitendo hiki pia kimeshusha morali ya wale ambao walirudi kazini…kwa hiyo wapo Madaktari ambao wapo kazini, kwa maana ya eneo la kazi lakini wanachokifanya hiyo wanajua wao,”alisema Chitage.

Akizungumzia suala la madaktari wa walioko katika mafunzo (Interns) 390 kufutiwa leseni alisema, kitendo hicho kilitegemewa na hakikuwashitua kwa sababu ni kitu ambacho tayari kilipangwa.

“Kwetu sisi tulitegemea jambo hilo kwa hiyo hatukushtuka sana…kwetu hiki ni kitu kidogo sana, kwa sasa viongozi wa Interns wanafanya kikao na wanasheria wao wanaangalia jinsi uamuzi huo ulivyotolewa na baadaye tutakutana nao kwa ajili ya kuangalia ni namna gani tutalifanyia katika suala hili,”alisema Dkt. Chitage.

Akizungumzia hali ya Dkt.Stephen Ulimboka alisema kwa sasa hali yake inaendelea vizuri na ameanza kutembea na kufanya mazoezi vizuri, “Hivi sasa hali yake imeanza kuimarika. Anaweza kutembea na anafanya mazoezi yake vizuri. Kinachoendelea kumkalisha hospitali ni uangalizi wa karibu wa figo…lakini ingekua si figo angekuwa amesharudi nchini,” alisema.







Source: http://www.wavuti.co

My take: Hawa madaktari "uchekibobu" ndio unaowaponza. Wanaongea vitu kama viajna wa kijiweni vile!
1. Chitage ananukuliwa akisema hali ya Rais wa MAT kufikishwa mahakamani imewashtua!
Hivi huyu Chitage hajui kuwa Rais wa MAT alipewa amri na mahakama? Ukipewa amri na mahakama una options mbili, aidha kuitekeleza au kuiambia mahakama kuwa hujaridhika na amri hiyo. Huyo Rais wa MAT alifanya chochote kati ya hivyo? Yeye amepewa amri ya mahakama akaifungia sandukuni na kuendelea na shughuli zake za kichekibobu. Sasa kinachowashtua ni nini?

2. Chitage ananukuliwa akisema swala la interns kufutiwa usajiri halijawashtua kwa sababu walilitegemea! Wakati huohuo anasema viongozi wa interns wanajadiliana na mwanasheria na baada ya majadiliano hayo ndipo Chitage na wenzake waangalie nini cha kufanya. Sasa Chitage kama walishalitegemea hilo, kwanini majadiliano na mwanasheria yanafanyika mpaka baada ya leseni kufutwa? Chitage haoni kuwa anawachelewesha vijana wa internship katika safari yao ya kupata usajiri wa kudumu kwa sababu yeye ana mipango mingine ya maisha! Lakini najiuliza hawa kina Chitage kwanini swala la interns wanawaachia viongozi wa interns? kwa nini wasilisimamie wao kama viongozi wa madaktari? Huu uchekibobu utawaponza vijana wasio na hatia.

3. Chitage ananukuliwa akisema madaktari wanafanya kazi lakini hawana moyo wa kufanya hiyo kazi. Hivi huyu Chitage ni lini alikuja kuuambia umma kuwa mgomo umeisha? Kwa lugha nyingine ni kwamba mgomo ulioitishwa na kina Chitage umekataliwa na madaktari na Chitage na wenzake wanaona haya kusema ukweli kuwa mpango wao wa kuivuruga nchi umekwama. Labda tumuulize Chitage amejuaje kuwa madaktari hawana ari ya kuwatibu watanzania wenzao. Yeye Chitage kama kagoma, anafuata nini maeneo ya kazi?

Nawashauri viongozi wa hospitali kuhakikisha machekibobu kama kina Chitage hawaruhusiwi kuingia katika sehemu za kazi. Wao waendelee kugoma na wawaache madaktari wanaotibia watanzania wenzao waendelee na shughuli zao. Wameshawaharibia vijana programs zao za internship sasa wanataka kuharibu na mengine. Hawa wakiachwa wanaweza kuwa radhi kuharibu hata hivyo vifaa vichache chakavu vilivyopo.
Basi ukiwa unajiuliza uwe na kakumbukumbu kidogo. Mgomo haukuitishwa na MAT bali ni Jumuiya ya Madaktari na kiongozi wake ni Dr Ulimboka....labda ungemsaidia angerespond vipi? Anashangaa kwasababu kesi haimhusu MAT labda waiandike upya.
 
mimi ni mdau... tena ndani sana na nahisi wewe kuingia kwenye siasa kumeharibu mno inteligence yako!!! labda na kukaa nje kidogo imekufanya kuwa very funny

Hivi unaweza kweli kumchana dr ovyo halafu publicly then ukategemea quality outcomes?
can you really abandon fellow professionals ili tu uwe considered na the falling moguls?
vipi kuhusu mazingira ya kuazi, unayapenda??
unajisikiaje unapozunguka hata nchi vaLUVALU KAMA turkey na kuona theatre zao zilivyo tofauti
unasolve vipi shida za dr kwa kuwatisha, kuwadharau, kuzungumza uongo hadharani simply because you ahve the media on your side??
where did it all go wrong with you?? are really informed au ndio mmegubikwa lile blanketi la taarifa na mnashindwa hata kujifunua basi kunusa watu wazima, wenye elimu na ustaarabu tena wataalam kama akina namala kuwa treated kama wadhalimu wakati hata power ya mgomo hana, it is his seat that makes him do what he has to do, as a leader?

My brother, you were one of the respected bros, but you have lost it..... and btw, unajua kwamba ulushiriki kuchangia vifo vya baadhi ya wagonjwa kutokana na lack of concentration yako wakati unajaribu kupractice??

nasubiri ban
You intelligent doctors are a pain in the ass.
Lakini you are overestimating your worth, to many Tanzanians kile mlichofanya hakikubaliki leo hata kesho na daima haiktakubalika.

Ningekuwa JK(Al Hamdulillahi naomab nipate nafasi hiyo) , ningewapakia katika mabasi manne tu, mind you FOUR BUSSES na kuwapeleka mpakani mwa Tanzania iwe Tunduma,Namanga,Rusumo au Kyaka muendelee na safari kule mpendako kwenda.
Mmmeshaambiwa GET LOST na muende kule ambako mnafikiri fedha zitawatosha ,tuachieni hospitali zetu dhaifu ambazo hazina dawa, hazina vifaa lakini zinatutosha.
Sijui kwa nini zoezi hili hamulielewi!!!!!!
 
Kuna mtu anaweza kunisaidia kunihakikishia kama huyu anayekwenda kwa jina la Chitega ni Daktari kamili wa kuusomea katika njia za kawaida kweli,napata mashaka makubwa hasa baada ya kusoma hoja zake alizozitoa,daktari aliyekaa darasani kusoma na kufanya mitihani mbalimbali na kufaulu kiasi cha kupewa leseni ya u'daktari kamili anawezaje kutoa hoja za ki'ushuzi kama hizi....eti kufutwa kwa leseni za ma'interns kulitegemewa...vp kuhusu kushtakiwa kwa Dk Namala kwa kosa la kudharau amri ya Mahakama hakukutegemewa? aisee nimeamini kukaa kimya sometimes kunaweza kulinda hadhi ya mtu kwa kiasi kikubwa sana kuliko kuropoka kwa style hii ya Bwana Chitega.
ungekuwa dr ungemfahama na kuheshim mawazo yake
 
You intelligent doctors are a pain in the ass.
Lakini you are overestimating your worth, to many Tanzanians kile mlichofanya hakikubaliki leo hata kesho na daima haiktakubalika.

Ningekuwa JK(Al Hamdulillahi naomab nipate nafasi hiyo) , ningewapakia katika mabasi manne tu, mind you FOUR BUSSES na kuwapeleka mpakani mwa Tanzania iwe Tunduma,Namanga,Rusumo au Kyaka muendelee na safari kule mpendako kwenda.
Mmmeshaambiwa GET LOST na muende kule ambako mnafikiri fedha zitawatosha ,tuachieni hospitali zetu dhaifu ambazo hazina dawa, hazina vifaa lakini zinatutosha.
Sijui kwa nini zoezi hili hamulielewi!!!!!!

ndicho tulichofanya... but that doesnt stop us responding to jack ass kama wewe unapofungua tobwe lako

just pick up the pieces and dude, imekula kwenu na global indicators zipo wazi zitafute ujue athari kwenye health care delivery system

and guess what, ushawahi ona mtu anasusa kula??? that is exactly what you have done
 
Kuna mtu anaweza kunisaidia kunihakikishia kama huyu anayekwenda kwa jina la Chitega ni Daktari kamili wa kuusomea katika njia za kawaida kweli,napata mashaka makubwa hasa baada ya kusoma hoja zake alizozitoa,daktari aliyekaa darasani kusoma na kufanya mitihani mbalimbali na kufaulu kiasi cha kupewa leseni ya u'daktari kamili anawezaje kutoa hoja za ki'ushuzi kama hizi....eti kufutwa kwa leseni za ma'interns kulitegemewa...vp kuhusu kushtakiwa kwa Dk Namala kwa kosa la kudharau amri ya Mahakama hakukutegemewa? aisee nimeamini kukaa kimya sometimes kunaweza kulinda hadhi ya mtu kwa kiasi kikubwa sana kuliko kuropoka kwa style hii ya Bwana Chitega.
Daktari atakuwa yeye bwana,aondoke zake. Atuonesha utafiti alioufanya hadi aseme wenzake waliopo makazini wamekata tamaa. Tatizo la kujifanya wao watu muhimu sana katika nchi na kuna wajinga wachache wanaoshabikia ugumu wa science. Naomba wanaoshabikia wajibu umuhimu wa madaktari ni upi? Binafsi nimesoma sayansi na nasoma sayansi. Hiyo sayansi yenyewe inajieleza kuwa viumbe vinaishi kwa kutegemeana. Sasa umuhimu wao kuwa juu ya kila kitu wanatoa wapi? Au sababu ni uchache wao?
 
Ze Marcopolo au Imani kondo "umesahau ulivyosababisha mortality za kufa mtu pale Lugalo mpaka wakakuweka kando you are a just failed physician na sasa unataka kuwatia hila wenzio poor boy!!"
 
Na-ukifeli udaktari pia unaruhusiwa kuzisoma hizo coz zao...na sio ukifeli hizo kozi zao unaruhusiwa kusomea udaktari....asante mkuu kutuelewesha.

Ha haa, wakuu, msitutukane tuliosoma kozi nyingine! Tulikuwa na Div 1 Form Six ya PCB lakini tukaamua kusoma mambo mengine! Si kila Daktari ana akili kumzidi mtu aliyesoma BCom, BAF, BsC, Engineering etc, etc. Ni suala la kupenda tu kwa wengine!
 
Daktari atakuwa yeye bwana,aondoke zake. Atuonesha utafiti alioufanya hadi aseme wenzake waliopo makazini wamekata tamaa. Tatizo la kujifanya wao watu muhimu sana katika nchi na kuna wajinga wachache wanaoshabikia ugumu wa science. Naomba wanaoshabikia wajibu umuhimu wa madaktari ni upi? Binafsi nimesoma sayansi na nasoma sayansi. Hiyo sayansi yenyewe inajieleza kuwa viumbe vinaishi kwa kutegemeana. Sasa umuhimu wao kuwa juu ya kila kitu wanatoa wapi? Au sababu ni uchache wao?

Ha ha haa, wape makitu man, sayansi sayansi! Tumesoma hizo sayansi, tukala Dv 1 O'Level na A'Level. Tukasepa zetu kozi nyingine!
 
ndicho tulichofanya... but that doesnt stop us responding to jack ass kama wewe unapofungua tobwe lako

just pick up the pieces and dude, imekula kwenu na global indicators zipo wazi zitafute ujue athari kwenye health care delivery system

and guess what, ushawahi ona mtu anasusa kula??? that is exactly what you have done

Mlichofanya ni nini? Tueleze mkuu! Manake naona kuondoka kwenda huko Botswana hamtaki lakini mmeng'ang'ania tu serikali iwaongezee pesa! tafuta mitego mingine wewe achana na ajira za serikali kama huridhiki!
 
kumbe wewe ndiyo dokta chinja chinja, kujidaigi kote unajenga hoja kumbe mweupe na chogi mbaya kabisa! ndiyo maana kule facebook unakujaga na hoja za kuwagawa madaktari na kujidai kuplay a hero kumbe mtu mwenyewe mweupe kabisa.

hivi ulipokuwa Arusha ile story kuwa ulikuwa unabashiwa ni kweli kumbe? pole sana jipange upya ,usichezee madokta zile ni akili kubwa peleka masaburi yako ukafie mbele ya safari madokta wenzio wamekuona mnafiki na msaliti mkubwa na unaubinafsi na uroho wa kisiasa.

Mimi naona mmeanza kugeukana, na pia mnatuchanganya sana, manake mnadai aliyesome U-Daktari ndo mtu ana akili kuliko waliosomea fani nyingine! Ili hali na sisi tulipiga ma PCB kwa one kali! Sasa mmeanza kubaguana kuwa kuna ambao siyo Competent! Dr. Aonga wa MOI alisomea nje lakini yuko very Competent! Sasa kumdharau huyu Dr. Chinjachinja kwa sababu kasomea nje si sahihi. Eleweni kuwa siyo kila aliyesoma MUHAS/MUCHS ni competent! watu kibao wanaingia na Div 2 na 3 pale MUHAS. Hapa issue ni maslahi bora, si kichambuana hivyo, inaonesha Drs. Mmezoea kukariri sana mpaka hamuwazi mbinu nyingine za maisha zaidi ya kulazimisha kubaki Serikalini. Fungukeni channels ni nyingi sana!
 
Back
Top Bottom