Uchawi- kwa nini hatufanyii tafiti za kisayansi

Uchawi unaanguka kwenye orodha ya matukio ambayo wanasayansi wanayaita paranormal phenomena/activity. Haya ni matukio ambayo hayaelezeki kisayansi au kwa kutumia uzoefu wetu wa kawaida. Mifano ya matukio haya:

-occult(uchawi)

-ghosts(majini)

-fortune telling(unajimu)


-hypnosis(kupumbaza)

-telepathy(kuwasiliana na wafu au mtu aliyopo mbali)

-miracles(miujiza)

-ufo(viumbe hai kutoka sayari nyengine)

Wanasayansi hadi hivi sasa wameorodhesha matukio na wapo njiani kuvumbua mbinu za utafiti utakaowawezesha kufahamu matukio haya ya ajabu. Mfano sayansi ya parapsychology na utafiti wa extra sensory perception.
 
mmh...pamoja ma kwamba serikali haiamini uchawi ila bado wana imani kuwa Mungu yupo na karibu dini zooote zinapingana na mambo ya uchawi sababu limekaa kishetani zaidi sasa kuliweka kati jambo hili ni sawa na kuaanza kuhalalisha uchawi!! Isitoshe inafahamika wazi kuwa jambo lolote lile liwe zuri au baya lina gharama zake sasa kiuzoefu wa kijamii tu swala hili la kichawi gharama zake huwa ni mbaya sana maana zinadili na maisha ya mtu moja kwa moja sasa ili kufanya utafiti maana yake kuna gharama inabidi itumike hapo......nani atalipa hizo gharama!??
 
Ukitaka kuwaona Wachawi na Mashetani jaribu kujipaka kwenye kope zako za macho yako tongotongo za Mbwa mweusi utamuona kila aliye Mtu mchawi pamoja na mashetani fanya huo utafiti nakupa majaribio Mkuu Mtazamaji kazi kwako Waswahili husema Mchanga wa Pwani huoo.... mimi simo.......

Mkuu hiyo ni habari ya kweli ama furahisha jamvi?? Nijuze kabla sijaweka tongo kopeni..!!
 
Ukitaka kuwaona Wachawi na Mashetani jaribu kujipaka kwenye kope zako za macho yako tongotongo za Mbwa mweusi utamuona kila aliye Mtu mchawi pamoja na mashetani fanya huo utafiti nakupa majaribio Mkuu Mtazamaji kazi kwako Waswahili husema Mchanga wa Pwani huoo.... mimi simo.......
Umenitisha mkuu
How did u came to know this? teh teeeeh
 
valid statement said:
uchawi si kwa ajili ya maendeleo. Ni kwa ajili ya kurudisha nyuma maendeleo.
REJEA: Habari ya kwanza ya uchawi kwenye biblia wakati wa fimbo ya Musa mbele ya farao.

mkuu unajua inategema hata aK-47 au kshalanov zimeleta na zinaleta sana maafa afrika na dunia zaidi ya maendeleo lakini kwa warusi na watngenzeji zina faida. Bado naamini kama kweli watu wanaruka kwa ungo usafri huu unaweza kutumika kwa njia endelevu kama amavyo unavyoweza kutumia silaha ya kuua Ak47 kujilinda. mzee hap ni nje ya bibble samahani kama nakuudhi i ila na mimi kesho naenda church nikiwa nimeshika hiyo hiyo bibble. teh teh teh


HII ki2 bana ni haram vp tuifanyie research wakati 2najua kwamba c nzuri ktk jamii na ikifanyiwa reserach hiyo, utaihalalisha halafu madhara yake sasa....maana kila m2 ataijaribisha ili ahakikishe kama itafanya kaz bana.
mkuu tuk wenye jukwaa la teknoojia. Nadhani hata kutoa mimba ni haram, Hata genetetically inaweza kuwa haram. Kule USA FBI wana kituo na reserch center ya kupokea simu za watu kuhusu UFO. Huo uchawi wa ungo kama upo kwa nini tusitumie kwa mambo mazuri kama amabvyo unaweza kutumia silaha kuiba au kujilinda. kama kuruka kwa ungo lazima uuue mtu basi ufnyke uchunguzi wangapi wanauwa wa nyungo hizi. tusiseme tu hazifanyiki reseach kumbe n iuzembe unaosabisha unknown unknown.

Ukitaka kuwaona Wachawi na Mashetani jaribu kujipaka kwenye kope zako za macho yako tongotongo za Mbwa mweusi utamuona kila aliye Mtu mchawi pamoja na mashetani fanya huo utafiti nakupa majaribio Mkuu Mtazamaji kazi kwako Waswahili husema Mchanga wa Pwani huoo.... mimi simo.......
mzizimkavu ndio vitu kama hivi watafiti inabidi wafanyie kazi na research. Ila nimebaki nacheka.

..... Wanasayansi hadi hivi sasa wameorodhesha matukio na wapo njiani kuvumbua mbinu za utafiti utakaowawezesha kufahamu matukio haya ya ajabu. Mfano sayansi ya parapsychology na utafiti wa extra sensory perception.
lakini hata kama nimatukio hawawezi kuyaelezea kisayansi haiwakatazi kuyafayia tafiti. ndicho ninachomaanisha.uko USA ufo zinafanyiwa tafiti. why dont we make reseacrh on ungo technology in Tanzania.

Serikali haiamini uchawi....na hii ndiyo main reason!!
Kwa hiy akili zetu zimewekewa kikomo cha kufikiri. Mi siamini uchawi lakini ningekuwa na mdarka ningetkaa wasomi wafanye unbiased reseach wanipe jibu. specifcally kuhusu ungo .
 
Ukitaka kuwaona Wachawi na Mashetani jaribu kujipaka kwenye kope zako za macho yako tongotongo za Mbwa mweusi utamuona kila aliye Mtu mchawi pamoja na mashetani fanya huo utafiti nakupa majaribio Mkuu Mtazamaji kazi kwako Waswahili husema Mchanga wa Pwani huoo.... mimi simo.......
aaah! kaka @mzizimkavu kweli unayo yasema?
 
mkuu unajua inategema hata aK-47 au kshalanov zimeleta na zinaleta sana maafa afrika na dunia zaidi ya maendeleo lakini kwa warusi na watngenzeji zina faida. Bado naamini kama kweli watu wanaruka kwa ungo usafri huu unaweza kutumika kwa njia endelevu kama amavyo unavyoweza kutumia silaha ya kuua Ak47 kujilinda. mzee hap ni nje ya bibble samahani kama nakuudhi i ila na mimi kesho naenda church nikiwa nimeshika hiyo hiyo bibble. teh teh teh



mkuu tuk wenye jukwaa la teknoojia. Nadhani hata kutoa mimba ni haram, Hata genetetically inaweza kuwa haram. Kule USA FBI wana kituo na reserch center ya kupokea simu za watu kuhusu UFO. Huo uchawi wa ungo kama upo kwa nini tusitumie kwa mambo mazuri kama amabvyo unaweza kutumia silaha kuiba au kujilinda. kama kuruka kwa ungo lazima uuue mtu basi ufnyke uchunguzi wangapi wanauwa wa nyungo hizi. tusiseme tu hazifanyiki reseach kumbe n iuzembe unaosabisha unknown unknown.


mzizimkavu ndio vitu kama hivi watafiti inabidi wafanyie kazi na research. Ila nimebaki nacheka.

lakini hata kama nimatukio hawawezi kuyaelezea kisayansi haiwakatazi kuyafayia tafiti. ndicho ninachomaanisha.uko USA ufo zinafanyiwa tafiti. why dont we make reseacrh on ungo technology in Tanzania.


Kwa hiy akili zetu zimewekewa kikomo cha kufikiri. Mi siamini uchawi lakini ningekuwa na mdarka ningetkaa wasomi wafanye unbiased reseach wanipe jibu. specifcally kuhusu ungo .
Unacheka? Unafikiri mimi ninakutania? Usijaribu hiyo ni hatari sana ukitumia utaona viumbe vilivyo jificha kisha hakuna Dawa ya kuibatilisha kazi kwako utawaona Mashetani,Wachawi usiu na mchana utawona ukienda chooni au Masokoni au shemu wanapotupa watu Takataka utawaona Mashetani usijaribu mkuu ukiwaona unaweza kufa gafla au kupata wendawazimu shauri yako.

:photo:Dah nipo scared kinoma:juggle::spy: ngoja nijifiche:spy:
Usijaribu hiyo kitu kanifundisha MNigeria mmoja Rafiki yangu si unajuwa WaNigeria kwa mambo ya Uchawi? Usifanye tafadhali nakuomba kama unajiona upo very Strong jaribu lakini nakuambia Mchanga wa pwani huo mimi simo.

aaah! kaka @mzizimkavu kweli unayo yasema?
Kama huamini jaribu lakini ukija dhurika shauri yako maana Mashetani Mungu kawaumba wao ndio wanaotuona sisi hatuwaoni sasa wewe unataka kuwona jaribu utawaona Mashetani na Wachawi Mchanga wa pwani huo mimi Simo ....
 
Uchawi ni mambo ambayo yamekatazwa katika dini hizi za Abrahamic, nikimaanisha Uyahudi, Ukristo na Uislam, kwa sababu uchawi ni mkataba kati ya shetani na binadamu.

Wapo magwiji waliobobea katika fani ya kupika mauzauza ya mazingaombwe na uchawi. Taaluma hii ya viini macho vya kuyageuza macho ya watu inatokana na kisa cha Haruta na Maruta huko katika mji wa Babeli uko Iraq. Elimu hii ni mtihani kwa watakaojifunza. Hata hivyo, uchawi si vitu halisi na wala haviwezi kudhuru mwenye imani na Mwenyezi Mungu na zaidi itakuwa ni mtihani tu juu yake.

Mara nyingi mambo ya uchawi upelekea kuondoka kwa imani ya Mwenyezi Mungu kwa mtu anayeshiriki hayo mambo. Kuna masimulizi mengi sana yanayo uhusiana na haya masuwala ya uchawi au urozi au sihri.

Mfano ni kwa mtu mwenye kujifunza kama ni Muislam au Mkristo anatakiwa kumkana kwanza Muumba wake, pili ili kuonyesha kuwa kweli amemkana basi anatakiwa kutumia kitabu cha dini aliyokuwa ana iamini (Bilia/Qur'an) kama ndio viatu vya kwendea chooni, yaani hapa ni kukikanyaga kitabu na kukifanya ndio kama matarawanda (kiatu cha chooni) na unatakiwa kuingia nacho chooni...! Au ukatakiwa kukojolea hivyo vitabu. Vilevile kuna mitihani mingine ya kutoa kafara kwa wale walio karibu yako na haswa watoto zako kama huna mtoto basi aidha baba au mama au hata wadogo zako... Sasa vitu kama hivi ni dhurma kwa wale wanaotendewa...! Tumeshuhudia watu wenye ulemavu wa ngozi (zeruzeru) wakiuliwa na wengine kukatwa viungo vyao, ili kutekeleza masharti ya mchawi na kadharika.

Kuna mambo mengine tu, mengine kama kufukua makaburi ya watoto wachanga na kutumia viungo vyao katika mambo ya urozi, hii si kwamba hivi viungo vinatumika kama fuel hapana, bali ni moja ya zawadi kwa yule shetani ambaye wewe unamtumia kwenye haya mambo, yaani mfurahishe kwa machafu ili akutumkie mambo yako.

Tatizo lingine kubwa ambalo sisi wenye kuamini Dini ni kuwa tunafundishwa kwamba kuamni na kutumia uchawi basi kutakukosesha rehma za Mwenyezi Mungu hapa duniani, yaani utakufa rofa, na kesho ahera utakuwa wewe ni mtu wa motoni milele. Na hii ndio sababu kubwa sana inayopelekea uchawi usifanyiwe utafiti wa kisayansi haswa kwa nchi zenye kuamni Mwenyezi Mungu.

Mambo ya uchawi yanarudisha nyuma maendeleo, maana hata ukiwaangalia watu wengi wenye kushiriki haya mambo, si watu wenye maendeleo yoyote zaidi ya kuogopwa na wale wenye imani dhaifu.
 
Back
Top Bottom