Yaulize masaburi yako yakujibu kwa kuwa aliye na macho haambiwi tazama! na pia wewe ni narrow minded sana kwa hiyo huwezi ukaona mazuri ya Lowassa. Bull shiiiiiiiit:A S embarassed:Nimekuwa nikishangaa kila mtu anayemkubali mr mamvi anasema jamaa ni mchapakazi na kafanya mambo makubwa!ni yapi hayo jamani mambo makubwa, city water na shule za kata?naomba kujuzwa!
Nimekuwa nikishangaa kila mtu anayemkubali mr mamvi anasema jamaa ni mchapakazi na kafanya mambo makubwa!ni yapi hayo jamani mambo makubwa, city water na shule za kata?naomba kujuzwa!
Nyie watoto
ukristo wa lowassa unamtosha kabisa kuonyesha uchapakazi wake ulivyo imara nini zaidi mnataka
Wewe ni jini Subiani, maana halipatani na jini Mahaba !nani wa kukujuza wakati uwezo wako wa kupokea mdogo?kama humkubali to hell.waache wanaomkubali waendelee.huwezi kuwa unajua ukweli halafu unataka kuujua.unachotaka kukijua kaulize kwa MS(jini mahaba)