wanaume wengi akilizao ziko kwenye suruali tu ( sio wote)
chuki binafsi hizi
wanaume wengi akilizao ziko kwenye suruali tu ( sio wote)
hapo kwenye blue ni kwamba huwezi kula CD kwa uroho ni kimoja tu, akili ikikaa sawa unakimbia hutaki kumwona. Ila mie simo hukokashehe ukitoka huko, ukifika hm wife anataka tena kwa speed ya one twnty, na huko unakuwa umekula kwa uroho hzo mbga
hiyo niliiona Pretoria SA ila nadhani Bongo hakuna lakini hata Serengeti Boyz ni kama Changu wa kiume maana uwa wanalipwaHivi kuna mahali wapo machangudoa wa kiume ambako wanawake nao waweze pata huduma ya chapu chapu?
hapo kwenye blue ni kwamba huwezi kula CD kwa uroho ni kimoja tu, akili ikikaa sawa unakimbia hutaki kumwona. Ila mie simo huko
mhhhh umetutukana!wanaume wengi akilizao ziko kwenye suruali tu ( sio wote)
kwani wamekwambia uchonge mzinga na Akili inakuja unamkumbuka wife home!Mbona wajitoa fasta hivoo kulikoni?
Wana raha yao, ingawa ni watu hatari pia. Yataka umakini......... Unaweza porwa kila kitu
Duh ebwanaeeeee!!!!!Nilikuwa sijui kama hiibiashara huko Dar inafanyika hivyo!!!!!Last Month nilitembelea baadhi ya maeneo nikahisi ni ndoto;1. Kinondoni karibu na Heart Institute ukipita na gari unakimbiliwa na wadada kibao mida ya usiku kuanzia saa mbili. Wanajiuza biola kujua wanamuuzia nani - Inatisha.2. Jolly Club barabarani wanajipanga wamulikwe na taa za magari, ukipunguza mwendo tu; wanakuja kwa fujo.3. Kariakoo barabara ya uhuru karibu na Keys Hotel (Kuna jimama flani white ni mwaka wa tatu sasa naliona hapo usiku) wanategea.4. Buguruni sokoni kwenye kituo cha daladala mbele ya bar wanajipanga kusubiri wateja. Ukiingia chooni unawakuta wanakusubiri ili uingie nao chumbani - wamehalalisha naona eneo hilo5. Buguruni nyuma ya soko NDIO BALAA ZAIDI. kUNA UCHOCHORO UKIPITA UNAWAKUTA WAMEJIPANGA MBELE YA VYUMBA VYAO HUKU MWANGA HAFIFU UKIWEPO NDANI KUASHIRIA UNAKARIBISHWA. HAWAFICHI KILA KITU KIPO WAZI KUWA WANAUZA K... NA YEYOTE ANARUHUSIWA. SIPATI PICHA WATU WA ENEO HILO NA WATOTO WAO WANAKUWA KATIKA HALI GANI MAANA KILA KITU KIPO DHAHIRI.5.
ukware tu unawasumbua wanaume.........
si unajua hapa uchelewi kunyooshewa kidole ila ile huduma wengi uwa wanaitumia haswa wakiwa safari za kikazi mikoani au wa mikoani wakija mjini kikaziMbona wajitoa fasta hivoo kulikoni?
chuki binafsi hizi
mhhhh umetutukana!
kwani wamekwambia uchonge mzinga na Akili inakuja unamkumbuka wife home!