Angel Msoffe
JF-Expert Member
- Jun 21, 2011
- 6,781
- 1,639
uchangudoa si lazima kusimama barabarani hata kufanya uzinzi na watu tofauti 2/3 ni uchangudoa
kila m2 anakipaji chake mwingine kuimba,kuogelea, wizi wengine hobi yao ni ngono,
Kuna wale ambao wachukuliwa vijijini na kuahidiwa kazi nzuri, ila wakifika town wanaingizwa katika hizo biashara tena kwa kulazimishwa. Hawa wanaingia katika kundi lipi?
Hawa mara nyingi wanapangiwa bei..ila akishakuwa advanced ata-fall aidha kwa kahaba anaejitambua au kahaba asiyejitambua....!!
Kuna wale ambao wachukuliwa vijijini na kuahidiwa kazi nzuri, ila wakifika town wanaingizwa katika hizo biashara tena kwa kulazimishwa. Hawa wanaingia katika kundi lipi?
Tunapotaka kumuelewa mtu ambae anafanya ngono saana either kwa ajili ya kipato ama sio kwa ajili ya kipato ni mengi yatakiwa tuangalie....
- Aina ya huyo the so called Changu Doa (Refer to post # 15)
- Pushing factors mpaka akawa Branded hilo jina na the whole package ya U - CD.
Pushing factors za kua CD (Hii imelenga swali lako hapo kwenye bold)
- Ni yatima.... Wazazi wamefariki hana ndugu wala jamaa wa kumlea; hana muelekeo, hana msaada, hana mlezi wa maana ama anaeleweka na wala hana mtu wa kumsimamia katika mahitaji ya kila siku... Na kama yupo maybe ni wa kubabaisha - ama mlezi nae choka mbaya na the like.
- Makundi... hasa hizi age za kukua hizi... (teenagers) the type ya youth ambao anashinda nao (vitu ambavo wapenda ni vipi vyashika hatamu? i.e ngono?), sehemu anazoshinda, vitu vinavomvutia, sometimes shule alosoma, tamaa na mambo mengine mengi.
- Kukosa kabisa mwelekeo wa maisha, hawezi furukuta kwa njia yoyote ile aweze jikwamua... Kila aendako kuomba msaada woote wanakua na nia yataka mtumia... iwe mwili wake ama nguvu zake na the like. At the end ajikuta tu akiingia katika biashara ya kujiuza ili kuweza kimu maisha yake.
- TAMAA.... Tamaa kwa mabinti siku hizi is a chronic and deadly disease.... Kutaka jipandisha na kujiweka sehemu ambayo sio level yao... kutaka vitu vya gharama wala hata mbele wala nyumba zaidi ya uzuri na mwili wake..... At the end anatumia uzuri na mwli wake kupata atakacho.... Akawa na bahati atakua malaya anaejitambua... Akiwa mkurupukaji atakua malaya asie jitambua....
Huo house gal ataingia kundi hilo la 3..... Take note: Niloongea hapa sio absollute....
mbona umeshajijibu mkuu wenye vipato na wanafanya ni tabia na huwa hawakubali kupandwa kwa short timuwale wanaopandwa kwa short timE ni mambo ya KIPATO.Swali: Je wewe unayewapanda machangudoa ni kipato kikubwa au ni tabiawakuu naomba wikiendi ya leo tutumie kuijadili hili swala hivi sababu kuu ya watu kujiingiza katika uchangudoa ni nini hasa?Kipato duni au ni tabia ya mtu?Kama ni kipato duni je hawa wanaofanyia uchangudoa kwenye makasino wana vipato duni??Je kama ni tabia ya mtu na wanataka mwanaume wa kuwaridhisha je hawa wanaofanya short time wanaridhishwa kweli???Nimejiuliza hili swali nikaona bora nije ni share na ninyi hapa
Tunapotaka kumuelewa mtu ambae anafanya ngono saana either kwa ajili ya kipato ama sio kwa ajili ya kipato ni mengi yatakiwa tuangalie....
Pushing factors za kua CD (Hii imelenga swali lako hapo kwenye bold)
- Aina ya huyo the so called Changu Doa (Refer to post # 15)
- Pushing factors mpaka akawa Branded hilo jina na the whole package ya U - CD.
- Ni yatima.... Wazazi wamefariki hana ndugu wala jamaa wa kumlea; hana muelekeo, hana msaada, hana mlezi wa maana ama anaeleweka na wala hana mtu wa kumsimamia katika mahitaji ya kila siku... Na kama yupo maybe ni wa kubabaisha - ama mlezi nae choka mbaya na the like.
- Makundi... hasa hizi age za kukua hizi... (teenagers) the type ya youth ambao anashinda nao (vitu ambavo wapenda ni vipi vyashika hatamu? i.e ngono?), sehemu anazoshinda, vitu vinavomvutia, sometimes shule alosoma, tamaa na mambo mengine mengi.
- Kukosa kabisa mwelekeo wa maisha, hawezi furukuta kwa njia yoyote ile aweze jikwamua... Kila aendako kuomba msaada woote wanakua na nia yataka mtumia... iwe mwili wake ama nguvu zake na the like. At the end ajikuta tu akiingia katika biashara ya kujiuza ili kuweza kimu maisha yake.
- TAMAA.... Tamaa kwa mabinti siku hizi is a chronic and deadly disease.... Kutaka jipandisha na kujiweka sehemu ambayo sio level yao... kutaka vitu vya gharama wala hata mbele wala nyumba zaidi ya uzuri na mwili wake..... At the end anatumia uzuri na mwli wake kupata atakacho.... Akawa na bahati atakua malaya anaejitambua... Akiwa mkurupukaji atakua malaya asie jitambua....
Huo house gal ataingia kundi hilo la 3..... Take note: Niloongea hapa sio absollute....
kila m2 anakipaji chake mwingine kuimba,kuogelea, wizi wengine hobi yao ni ngono,
Uko right kabisa! Kuna dada mmoja alikuwa jirani yetu wakati tuko machalii watu kibao tulimpitia ikawa haitoshi akawa anahamia Ohio Usiku, na familia yao ni matajiri wakubwa yaani watu tulikuwa tunajichukulia kiulainiii