C.T.U
JF-Expert Member
- Jun 1, 2011
- 5,070
- 3,718
wakuu naomba wikiendi ya leo tutumie kuijadili hili swala
hivi sababu kuu ya watu kujiingiza katika uchangudoa ni nini hasa?
Kipato duni au ni tabia ya mtu?
Kama ni kipato duni je hawa wanaofanyia uchangudoa kwenye makasino wana vipato duni??
Je kama ni tabia ya mtu na wanataka mwanaume wa kuwaridhisha je hawa wanaofanya short time wanaridhishwa kweli???
Nimejiuliza hili swali nikaona bora nije ni share na ninyi hapa
hivi sababu kuu ya watu kujiingiza katika uchangudoa ni nini hasa?
Kipato duni au ni tabia ya mtu?
Kama ni kipato duni je hawa wanaofanyia uchangudoa kwenye makasino wana vipato duni??
Je kama ni tabia ya mtu na wanataka mwanaume wa kuwaridhisha je hawa wanaofanya short time wanaridhishwa kweli???
Nimejiuliza hili swali nikaona bora nije ni share na ninyi hapa