ndugu ahsante kwa kuleta mada hii inaonyesha kabisa kwamba hiyo radio haina waendelezaji na wafanyakazi imara ambao wanaweza kuletea wasikilizaji vipindi vizuri na mambo mengi zaidi kwa ajili ya radio zao wewe angalia radio zote vipindi vinafanana fungulia asb ea radio , radio one ,clouds vitu vinafanana kasoro lugha na jina la kipindi tu yaani hawana mpya lazima watu wabadilike watafute masoko na wawe creative katika shuguli zao