Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona unajikanganya?
kuna haja gani ya kufunya uchambuzi kama hautumii kabla ta kuanza mahusiano mapya.
Hizo analysis zinaweza fanyika, je zinafuatwa? Ukute ushaanza mpenda, au mshaanza kuwa karibu unagundua ni muongo, je utasepa fasta?
Au utasubiri hadi uwe victim wa uongo wake kwanza ndio unasepa?
Je,moyo wako ukiwa umemzimikia mtu akili yako inaweza kufanya uchambuzi wa faida-hasara ya uhusiano huo?/When your heart has fallen for someone can your mind do a cost-benefit analysis of that relationship?