Kiraka Kikuu
JF-Expert Member
- Oct 3, 2011
- 5,904
- 1,976
Hahahahaaaa...Nilianzisha huo uzi makusudi kutaka kupima mambo kama matatu hivi:
1:Uwezo wa watu kuhimili wazo geni bila kufuka matusi.
2:Mapenzi ya jukwaa hili kwa wana Chit-Chat.
3:Ujenzi wa hoja kwa wana Chit-Chat.
Kwa namba 1 na 3 wengi wamefeli humu,ila mapenzi kwa jukwaa hili kweli yako juu.
Otherwise,mimi ni m-Chit chat na mtaendelea kuniona humu.
Hahahaaa...ulitukamata wengi!