mashikolomageni
JF-Expert Member
- Jan 5, 2010
- 1,570
- 187
Jana jioni maeneo ya Mwadubi Wilaya ya kwimba jimbo la kwimba yamekamatwa mabox ya kupigia kura. Habari za uhakika kutoka kwa Mgombea wa Ubunge Letty Nyerere amesema wamekamata masanduku mawili na watuhumiwa makada wa sisiem wamefikishwa kituo cha polisi Ngudu. Nitawapasha zaidi kadri ntakavyo kuwa napata taarifa zaidi