Uchaguzi Zanzibar: Hongera Rais Magufuli kwa msimamo sahihi

Tunachongele hapa ni matatizo yaliotkea katika uchaguzi wa 2015 na si 2010.
Sasa kama Maalim Seif alikubali mwaka 2010 kushindwa licha ya kushinda, hivi sasa mnashindwa nini kumshauri vivyo?
Masopakyindi,
Wale waliomshauri mwaka wa 2010 inaelekea safari hii na wao wamechoka.

Mwaka wa 1995 CCM Zanzibar walishindwa uchaguzi na Ali Ameir akapaleka
barua kwenye tume kukataa matokeo.

CCM ikachukua nchi kwa nguvu.
Historia ikawa inajirudia katika chaguzi tatu hali ni hiyo hiyo.

Safari hii inaelekea hali ni ngumu.
Tusubiri In Shaallah.
 
Usituelekeze kule kwenye mawazo yako.
Ndio ulivyo Mohamed Said, ukibanwa na hoja unairushie kwenye link isiyo na jibu.
Tamka jibu la swali langu ndani ya mada kisawasawa.
Masopakyindi,
Sijafanya hivyo.

Umesema wewe unajua sasa kama unaijua historia ya Zanzibar.
Sasa mimi nitakufunza lipi?

Swali lako ni historia ya Zanzibar uijuao ''fika.''
Sasa jibu gani ulitakalo kwangu ambalo wewe hulijui?

Kwa ''link'' hakika ninazo nyingi kwa kuwa nimetafiti na kuandika sana.
Naamini hili unalitambua fika.
 
Imekuwaje umetumwa wewe kuyasema hayo na si Maalim Seif mwenyewe!!
Jidu la Mabambasi,
Mimi si mtumishi wa yeyote yule.

Wala sina hadhi ya kuwa msaidizi wa Makamo wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar.
Mohamed Said anatumwa na utashi wake binafsi.

Na khiyari hushinda utumwa.

Hayo usomayo hayatoki kwenye kichwa cha yeyote awaye yule.
Hayo uyasomayo ni kutoka kwenye kalamu yangu mwenyewe.
 
Mchango wako ungekuwa na maana kama ungejikita katika hadidu za rejea za mada yenyewe.
Vyombo vya dola viko huko Zanzibar, fujo itatokea wapi?
Pengine huwafahamu wazanzibari, kama ni vurugu na fujo zingekuwa zimetokea tena zamani.

Point zako nyingine ni kama mtu anayejitekenya na anacheka mwenyewe.
We ulikuwa wapi wakati Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano, mh Pinda anapigwa marufuku kutoingilia Zanzibar.
Hayo yalisemwa na si mwingine bali makamu wa Rais wa Serikali ya Umoja wa Kitaifa -SUK, Maalim Seif!
Matamko ya Seif hayakupingwa na mtu yeyote nje au ndani ya Zanzibar na Muungano.
Predcedence tayari ilishakuwa set.
Sasa ndo nasema pilipili ya Zanzibar yakuwashia nini?

Halafu hivi hanjui kuwa uchaguzi ndani ya Zanzibar si suala la Muungano, hivyo Rais wa Muungano atamwamrishaje Jecha wa ZEC, aliye chini ya rais wa Zanzibar.

Msijitie ufahamu ambao hamna ujuzi nao.
ZANZIBAR NI Nchi!
Hilo nalo hamjalisikia?

Vyombo vya dola viko huko Zanzibar, fujo itatokea wapi?
Huko zilikotokea fujo hakukuwa au hakuna vyombo vya dola? mfano wakulima na wafugaji?

Matamko ya Seif hayakupingwa na mtu yeyote nje au ndani ya Zanzibar na Muungano.

Kwahiyo yalifanywa kuwa sheria?

Halafu hivi hanjui kuwa uchaguzi ndani ya Zanzibar si suala la Muungano, hivyo Rais wa Muungano atamwamrishaje Jecha wa ZEC, aliye chini ya rais wa Zanzibar.
Huoni kama haya ndo mambo yanafanya muungano kuwa wa sintofahamu? Mara Zanzibar sio nchi, mara mara sijui tume ya huku na kule, unawezaje kujivunia udhaifu huu?
 
Vyombo vya dola viko huko Zanzibar, fujo itatokea wapi?
Huko zilikotokea fujo hakukuwa au hakuna vyombo vya dola? mfano wakulima na wafugaji?
Wakulima na wafugaji wako Zanzibar au unaongelea nchi gani?


Matamko ya Seif hayakupingwa na mtu yeyote nje au ndani ya Zanzibar na Muungano.

Kwahiyo yalifanywa kuwa sheria?
Katika sheria soma kituinaitwa precedence



Halafu hivi hanjui kuwa uchaguzi ndani ya Zanzibar si suala la Muungano, hivyo Rais wa Muungano atamwamrishaje Jecha wa ZEC, aliye chini ya rais wa Zanzibar.
Huoni kama haya ndo mambo yanafanya muungano kuwa wa sintofahamu? Mara Zanzibar sio nchi, mara mara sijui tume ya huku na kule, unawezaje kujivunia udhaifu huu?
Unatafuta kitu inayo furahisha nafsi, jiridhishe kuwa dhana ambayo sasa ni halisia ya Zanzibar ni Nchi, iliungwa mkono na wazanzibari, tena kwenye Baraza la Wawakilishi.
Sasa sijui wewe unapata wapi ujasiri wa kupinga msimamo huo.
Mwulize Maalim Seif alipo mnanga Waziri Mkuu Wa Serikali ya Muungano, Mh Pinda juu ya hili.
Jibu linnguoni mwako!
 
Unayosema wewe huwa unatumwa na nani?
Soma Daily News la leo 9/2/2016 "Fresh polls best for Zanzibar"

"There is no better way to solve the political impasse in Zanzibar than another round of the ballot box, the government has reaffirmed.
The remarks were made by the President John Magufuli in Dar es salaam yesterday , whose speech was read on his behalf by the Minister or Foreign Affairs, East Africa, Regional and International Cooperation, Ambassador Augustine Mahiga, during a diplomatic gathering at the State House in the city yesterday."

Daily News, 9th February 2016

Nonda , Mohamed Said kuna maneno?
 
"There is no better way to solve the political impasse in Zanzibar than another round of the ballot box, the government has reaffirmed.
The remarks were made by the President John Magufuli in Dar es salaam yesterday , whose speech was read on his behalf by the Minister or Foreign Affairs, East Africa, Regional and International Cooperation, Ambassador Augustine Mahiga, during a diplomatic gathering at the State House in the city yesterday."

Daily News, 9th February 2016

Nonda , Mohamed Said kuna maneno?
Link ‘Uchaguzi wa marudio ni kuvunja Katiba’

Chama cha APPT Maendeleo, kimetangaza rasimi kwamba hakitashiriki Uchaguzi Mkuu wa marudio kutokana na kupoteza imani na Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), baada ya kufuta kibabe matokeo ya uchaguzi wa Oktoba 25 mwaka jana.

APPT kinakuwa chama cha pili kutangaza kutoshiriki uchaguzi huo wa Machi 20 baada ya Chama kikuu cha upinzani Zanzibar, CUF kutoa tamko lake kama hilo mwezi uliopita.

Link Home
 
"There is no better way to solve the political impasse in Zanzibar than another round of the ballot box, the government has reaffirmed.
The remarks were made by the President John Magufuli in Dar es salaam yesterday , whose speech was read on his behalf by the Minister or Foreign Affairs, East Africa, Regional and International Cooperation, Ambassador Augustine Mahiga, during a diplomatic gathering at the State House in the city yesterday."

Daily News, 9th February 2016

Nonda , Mohamed Said kuna maneno?
Mkuu watakuwa na neno gani tena?
Tumewaambia wee wao wameweka masikio pamba!
Sasa wamesikia kwa masikio yao, tena live!
 
Mkuu! mimi sijui niko unia gani? kwani ni nani alienda kwa Papa?
IMG_0249-747857.JPG

12mm.JPG

4mm.JPG
 
Tusikimbie ukweli
Wakiristo hawataki znz wajitawale because INA waislam wengi.
Reference matamshi ya Lukuvi kanisani.

Sasa inatafutwa kila njia ya kuwadhibiti.

Hapa tu Tanganyika walikataa mahakama ya kadhi sembuse znz. Wataua watabaka lakini lao litimie
Hii ni vita kati ya waislam na wakiristo tujue hivyo
Na mfumo kiristo unafanya kazi.
 
Back
Top Bottom