mike zote hazifanyi kazi?
Baada ya nusu saa hivi kuanzia sasa, kikao cha uteuzi wa spika mpya kitaanza hapo Dodoma yeyote mwenye la kuchangia hii thread ndiyo mahali pake..............nitajitahidi kuwaletea dondoo za matukio muhimu kutoka huko Dodoma.......................na kila mmoja ajaribu kufanya hivyo kuwapasha habari wale ambao hawataweza kuona tukio hili muhimu moja kwa moja..................