Uchaguzi wa Meya Manispaa ya Kigoma waahirishwa

Tatizo langu linakuja katika 'kutoa ahadi' bila ya kujua mazingira halisi husika hasa ukizingatia kuwa hakukuwa na haja ilolazimisha ahadi hiyo itolewe kwa wakati ule.

Vitu kama hivi ndo vinampa uhalali Ngeleja wa kutukatia umeme kwa kuwa 'hakujua kama kudura ya Mungu ya kutonyesha mvua itakuja'.

Mtataka tukubali kuwa asitimize ahadi waliyoiweka kwa sababu mvua hazikunyesha.
You might have a point... lakini shouldn't we talk about the problem at hand???? au wewe hili suala la CCM kuahirisha vikao vya uchaguzi unaona ni sawa??? au haukutaka, Mkuu hapo juu atupe habari????? Binafsi kwa hili sioni kosa alofanya bali amewajibika
 
Next level

Hawa wanasiasa wa siku hizi wamekuwa wepesi wa kuja kusema wapendacho kwenye hii mitandao, halafu yale maneno yao yakinukuliwa wamekuwa wepesi vile vile wa kulalama kuwa watu wanawapikia majungu. Wakionyeshwa waliyosema, wanagwaya, wanabaki ile ilikuwa thread nyengine haihusu huku, au ilikuwa hali haijajuulikana.

Hakukuwa na haja ya kuambiwa kila kijihatua cha 'maneno' kilichofikiana na Chama kwenye mkutano wao. Na utoaji huo wa ahadi za kiholela ndio inapelekea wao kushindwa kuzitimiza.

Haya keshasema 'hawatoki mpaka uchaguzi ufanyike', na ndo barua ya Pinda ndo hiyo ishakuja...........ahadi hiyo wataitimiza vipi?

Tunaomba wanasiasa waache kusema ahadi zisizotimizika hata kama ni ndogo kiasi gani.......unless unambie kuwa hizi ahadi nyengine tuzipuuze kwa sababu lengo lake ni kugain cheap popularity na kuamsha hamasa za watu tu.

Nimejua unakotokea sasa!
 
You might have a point... lakini shouldn't we talk about the problem at hand???? au wewe hili suala la CCM kuahirisha vikao vya uchaguzi unaona ni sawa??? au haukutaka, Mkuu hapo juu atupe habari????? Binafsi kwa hili sioni kosa alofanya bali amewajibika

Mkuu huu ni mdahalo wa wazi, ambao unajumuisha watu wa kila aina na wenye ufahamu mbali mbali. Mtu anapozungumzia jambo moja lililojitokeza kwenye mdahalo haina maana kuwa yale mengine anayaona hayana mantiki. Anaweza kuzungumzia hilo kwa sababu ya kuona wengine wamefanya kazi nzuri ya kuzungumzia mengine.

Nilitaka sana na ninapenda kuwa habari ziletwe, nnachopinga ni kuweka ahadi za midomoni tu ambazo hazitimizwi kwa sababu ya 'hatukujua mazingira ya mbele yakoje'.

Ukitoa ahadi timiza. Tukiwaacha wanasiasa wasitimize ahadi zao ndogo ndogo wanazozitoa bila ya kufikiria, ujue tunawapa fursa ya kutotimiza na ahadi zao kubwa kubwa vile vile.

Tunataka wawe makini. Ahadi za kiholela ziishe.
 
Kwa msioijua JF nadhani mnaielewa vizuri sasa, hatuna uadui humu.....

Kunja ngumi, kunja ngumi, kunja ngumi, kunja ngumi, kunja ngumi.

Peeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeepoz


avatar14729_22.gif
avatar14729_22.gif
avatar14729_22.gif
avatar14729_22.gif
avatar14729_22.gif
avatar14729_22.gif
avatar14729_22.gif
avatar14729_22.gif
 
Zitto,

Nafasi ya WM kwenye hizi chaguzi ni zipi? Ni ushabiki au?

Goodlucky bro!
 
Kenya deputy primier uhuru kenyata,anapelekwa the hague,tanzania mtoto wa mkulima,primier pinda the hague hiyooo inakuita .
 
Zitto,

Nafasi ya WM kwenye hizi chaguzi ni zipi? Ni ushabiki au?

Goodlucky bro!
WM ndio Waziri mwenye dhamana ya TAMISEMI. Anahusika moja kwa moja na haya na ndie aliyetoa amri ya kusitisha uchaguzi wakati mahakama imefanya maamuzi juu ya jambo hilo hilo. Matumizi mabaya ya ofisi
 
Mkuu huu ni mdahalo wa wazi, ambao unajumuisha watu wa kila aina na wenye ufahamu mbali mbali. Mtu anapozungumzia jambo moja lililojitokeza kwenye mdahalo haina maana kuwa yale mengine anayaona hayana mantiki. Anaweza kuzungumzia hilo kwa sababu ya kuona wengine wamefanya kazi nzuri ya kuzungumzia mengine.

Nilitaka sana na ninapenda kuwa habari ziletwe, nnachopinga ni kuweka ahadi za midomoni tu ambazo hazitimizwi kwa sababu ya 'hatukujua mazingira ya mbele yakoje'.

Ukitoa ahadi timiza. Tukiwaacha wanasiasa wasitimize ahadi zao ndogo ndogo wanazozitoa bila ya kufikiria, ujue tunawapa fursa ya kutotimiza na ahadi zao kubwa kubwa vile vile.

Tunataka wawe makini. Ahadi za kiholela ziishe.

Wewe umetimiza ahadi zako zote au umeamua ku-capitalize kwenye sentensi moja tu na kuacha kubeba mantiki ya ujumbe kusudiwa.
Unakuwa sawa na shabiki anayejua kucheza mpira kwa maneno tu kumzidi hata Ronaldo au Messi.

Tusipopewa taarifa binadamu tunalalamika tena.
Zitto endelea kutujuza yanayoendelea Kigoma na halimashauri zingine ambako opposition parties zina majority councilors.
 
Acha kuchemka mkuu!yaani kwa kuandika hii posts basi umeridhika kabisa na uanachama na utiifu kwa Chadema!au ndiyo unafiki kwa kuwa yupo hapa!!kuwa mkweli!MIMI BINAFSI SINA IMANI NA ZITTO KAMA NILIVYOKUWA NINAIMANI NAYE SIKU ZA NYUMA!NILIHISI KWA KUWA HUYU NI KIJANA MWENZETU BASI UKOMBOZI WA KWELI UNAKUJA.lAKINI KWA BAHATI MBAYA MATUMAINI YANGU YAMEYEYUKA KAMA THERUJI.
Acha kuchemka wewe, mimi sina imani na wewe, sijui hata kama u-mwanachama wa chama chetu.
 
Katika hatua ya kushangaza kabisa, Mkurugenzi wa Manispaa ya Kigoma Ujiji ameahirisha uchaguzi wa Meya. Katika Halmashauri hii CHADEMA ina madiwani wengi zaidi ya CCM na nafasi ya Meya na Naibu Meya ni ya chama chetu.
Mkurugenzi wa Manispaa amesema kapigiwa simu na Waziri wa TAMISEMI na kumwagiza aahirishe. Nimewasiliana na Waziri wa nchi TAMISEMI mhe Mkuchika na amesema yupo Newala na hajatoa agizo hilo na kwamba Serikali inaendeshwa kwa maandishi.
CCM wamegoma kuja kikaoni. Mkurugenzi kakimbia kikao na ofisi. CHADEMA imetimiza quoram lakini kikao hakifanyiki.
This is democracy at its best.

Nimekufuatilia sana mkuu Zitto na ukimya wako umenifurahisha sana, tunahitaji post kama hizi toka kwako, kazi jimboni kwako na kwenye chama. mimi ni mmoja wa mashabiki wako. always napenda kukuona upo calm. Amini wenzako wanaweza, wana akili na uelewa. listen to them, sometimes follow and learn from them. wengi tuliokuwa tukikupiga ndiyo marafiki wako wa ukweli kuliko akina Omar ambao wanakupeleka shimoni.

My understanding and position is that, time heals... fanya tafiti, jenga chama kigoma... shikamana na CHADEMA, acha wanachama waseme tunamtaka zito atuongoze hapa au pale.... bosi wako Dr Slaa, Kitila Mkombo, Dr Baregu, na Mnyika JJ au Binti uliyemsaidia wewe mwenyewe Regia Mtema wanaweza kuwa na manufaa sana kwako. jifunze kutoka kwao na utaona matunda yake....

Samahani kwa kuandika habari tofauti na topic iliyopo juu ila nilikuwa na ushauri kwa kaka yangu

Mgombea Ubunge Isimani 2015 kupitia Chadema
 
Acha kuchemka wewe, mimi sina imani na wewe, sijui hata kama u-mwanachama wa chama chetu.

Tukutuku sijui Pilipili what ever name you are, nadhani kila mtu hukosa na kujifunza tumpe nafasi nyingine Zitto... tuache kumpiga madongo. haisadii chama wala mtu yoyote... mimi nadhani adhabu tuliyompa inatosha... tumuunge mkono. tuache kumshutumu. tumpe muda ingawa tuwe makini na mienendo yake. Akirudia tena kuharibu tuandamane na tumtimue kwenye chama. Ila kwa sasa tusahau yaliyopita na tumpe second Chance. naamini zilikuwa arrogance zake ndiyo maana mara zote nilikuwa sikubaliani na waliosema kuwa kanunuliwa ila nilikuwa naamini kuwa hafai kwa kuwa anajiona anajua sana. lakini kwa sasa yatosha. tumsaidie.

Zitto. Tafadhari tujengee Chama KIGOMA 2015 tunataka majimbo yote yaliyobaki CCM yaende CHADEMA. maana hili la NCCR kuipiku CHADEMA Kigoma linanipa tatizo kidogo. Jipange na rekebisha hali. tuko pamoja nawe yaliyopita si ndwele tugange yajayo jamani.

ZITTO acha kuwasikiliza akina Omar Ilyas.. Vilaza wale na watakupeleka shimoni. Pia warudishe marafiki wote uliowa BAN kwenye FACE BOOK maana kama walikusema vibaya wewe futa ujumbe wao ila waache.. wengi walikusema vibaya kwa kuwa ulichemka na walikuwa wanakusaidia ukiwakataa wale hutapata critical thoughts... utakuwa na vilaza tuu kama Omar Ilyas
 
Tumepewa barua ya kutoka kwa Waziri Mkuu kwamba uchaguzi umesitishwa. Sababu ni kuwa CCM wamelalamika tume kuhusu uteuzi wa madiwani wa viti maalumu, kwamba wamepunjwa.
Sababu aliyoitoa Waziri Mkuu ni sababu ya kipuuzi na inaenda kinyume na maadili ya kazi.
CCM walikwenda mahakamani kupinga uteuzi wa madiwani na kwamba wamepunjwa. CCM waliomba injunction ili uchaguzi usitishwe. Mahakama ilitupilia mbali ombi la CCM kupitia ruling no. 22/2010.
Kitendo cha Waziri Mkuu kusitisha uchaguzi ni sawa na kutoa injunction ambayo CCM waliikosa mahakamani. Huku ni kuingilia uhuru wa mahakama na kutumia vibaya mamlaka ya Uwaziri mkuu.
CHADEMA itajibu rasmi barua ya Waziri Mkuu.
Uchaguzi hakuna.

Now you speak like my Zitto, Ahero whon i wanted to listen always... sasa kaka hapa unalonga na tunakusikia na tunafarijika, naanza kupata usingizi sasa
 
Next level

Hawa wanasiasa wa siku hizi wamekuwa wepesi wa kuja kusema wapendacho kwenye hii mitandao, halafu yale maneno yao yakinukuliwa wamekuwa wepesi vile vile wa kulalama kuwa watu wanawapikia majungu. Wakionyeshwa waliyosema, wanagwaya, wanabaki ile ilikuwa thread nyengine haihusu huku, au ilikuwa hali haijajuulikana.

Hakukuwa na haja ya kuambiwa kila kijihatua cha 'maneno' kilichofikiana na Chama kwenye mkutano wao. Na utoaji huo wa ahadi za kiholela ndio inapelekea wao kushindwa kuzitimiza.

Haya keshasema 'hawatoki mpaka uchaguzi ufanyike', na ndo barua ya Pinda ndo hiyo ishakuja...........ahadi hiyo wataitimiza vipi?

Tunaomba wanasiasa waache kusema ahadi zisizotimizika hata kama ni ndogo kiasi gani.......unless unambie kuwa hizi ahadi nyengine tuzipuuze kwa sababu lengo lake ni kugain cheap popularity na kuamsha hamasa za watu tu.

yaani hupendi kupata taarifa kupitia mtandao? kweli wewe hamnazo
 
yaani hupendi kupata taarifa kupitia mtandao? kweli wewe hamnazo

Lazima usielewe kwa nini ninataka wanasiasa wote wawe makini na maneno yao wanayotumia wakati wote kwa sababu wewe mwenyewe huko makini kwenye maneno yako.

Leo umekuja na hii

Now you speak like my Zitto, Ahero whon i wanted to listen always... sasa kaka hapa unalonga na tunakusikia na tunafarijika, naanza kupata usingizi sasa

wakati hata wiki moja nyuma haifiki ulikuja na hii

nitaangalia fainali ya CECAFA Challenge Cup kichovu sana, ningechangamka sana kama ningesikia katimuliwa kwenye Chama akaungane na Omar Ilyas kumsaidia Dr Salim Ahmed Salim kurejea kwenye siasa 2015

Na jengine hili

Vijana tunamchukia Zitto, kijana aliyefanya kazi na kuvuta vijana wengi Chadema ni John Mnyika, Rais wa tnzania 2025

Na hii pia

Duh, na amakweli Zitto ametupa ujiko tuliomuita Arrogant na tukasema hafai kuwa KUB
Zitto ananifanya nitembee kifua mbele maana nilimpinga kwa nguvu zote alipotangaza nia ya kugombea ukuu wa kambi ya upinzani

Na ndio ulikuja kusema ulitaka uwe mbunge wa viti maalum wewe, mtu mwenye msimamo kama a freely swinging pendulum in a vacuum!

Tanzania kwenye siasa bado tuna parefu mno......Pheeew!
 
:focus: kuna mwenye latest news..... Je uchaguzi utafanyika lini?????, na Hao waliosimamisha wana nini la kusema??????, na kama walikosea walichofanya Je kuna mpango wa kuwawajibisha???????:peace:
 
:focus: kuna mwenye latest news..... Je uchaguzi utafanyika lini?????, na Hao waliosimamisha wana nini la kusema??????, na kama walikosea walichofanya Je kuna mpango wa kuwawajibisha???????:peace:

Bado wako kikaoni mpaka uchaguzi ufanyike .............:p
 
Bado wako kikaoni mpaka uchaguzi ufanyike .............:p
You know una point kuhusu hizi ahadi mimi nashauri tuweke forum ya ahadi ya viongozi kwenye some sort of form na mtu akitimiza ahadi hizi tunampa %age na after five years tunaagaliza performance ni vipi...... ila mimi ya hili la hatutoki kwenye mkutano mpaka uchaguzi ufanyike nadhani its just figure of speech.... yaani ni msemo tu kama.... Jamaa ni mkali kama pilipili, au hatulali mpaka kieleweke..... Ahadi za kufatilia ni zile za kuleta meli, kujenga fly overs, umeme kuwa historia, dar kuwa kama dubai etc..., kuleta maji, kujenga hospitali n.k.
 
Back
Top Bottom