Enny JF-Expert Member May 26, 2009 962 130 Apr 29, 2011 #1 Nina mdogo wangu amemaliza form six masomo ya History, Kiswahili na English. sasa sijui chuo kikuu anaweza kuchukua masomo gani na kama kazi atafanya kazi gani? msaada wenu.
Nina mdogo wangu amemaliza form six masomo ya History, Kiswahili na English. sasa sijui chuo kikuu anaweza kuchukua masomo gani na kama kazi atafanya kazi gani? msaada wenu.
M Mopalmo JF-Expert Member Nov 11, 2010 533 138 May 2, 2011 #4 anaweza kusoma bachelor of laws,pia jaribu ku download guide book ya TCU,upate mwongozo zaidi,ila anazo fursa nyingi za kujiendeleza
anaweza kusoma bachelor of laws,pia jaribu ku download guide book ya TCU,upate mwongozo zaidi,ila anazo fursa nyingi za kujiendeleza